Search results

  1. Kidaya

    FAhamu zaidi kuhusu Chanjo

    Karibia kila mmoja wetu amewahi kuchoma chanjo ya kujikinga na ugonjwa fulani hasa alipokuwa mtoto. Chanjo za watoto kama chanjo ya kifua kikuu, polio, pepopunda na surua kwa kiasi fulani zimekuwa na mwitikio mkubwa kutokana na kampeni zinazofanywa na serikali na wadau wa afya kuhakikisha kila...
  2. Kidaya

    Kuna mbegu nimenunua eti inasafisha tumbo na kuondoa sumu, bado sijaitumia nataka ushauri kwanza

    Inaondoa sumu, sumu gani au sumu ipi, na hiyo sumu iko wapi kwenye mwili wako? Nikielewa unachomaanisha itakuwa rahisi kujua cha kukushauri?
  3. Kidaya

    SoC03 Kuboresha Mfuko wa Bima ya Afya

    Muswada wa Bima ya afya kwa wote ukisomwa bungeni leo https://www.youtube.com/live/Nqt297Ronqw?si=LgAPWLMTYncQqP20
  4. Kidaya

    Serikali kurudisha tena Mswada wa Bima ya Afya kwa Wote tena bungeni kesho 01/11/2023

    Muhimu sana hii. Wagonjwa wengi wanakosa huduma za afya kwa sababu ya fedha
  5. Kidaya

    Saratani ya Matiti, saratani inayowapata watu wengi

    Saratani ya Matiti ni nini? Kwanza, Saratani ni ugonjwa unaosababishwa na kugawanyika kwa seli za kiungo chochote mwilini bila kufuata utaratibu wa kawaida hivyo kusababisha kuzaliwa kwa seli zenye ukubwa, umbo na uwezo wa kufanya kazi tofauti na inavyopaswa, na kusababisha dalili hatarishi kwa...
  6. Kidaya

    Uzinduzi wa awamu ya 3 wa Shindano la Stories of Change

    Tunashukuru sana Mkuu. Lets keep advocating for change
  7. Kidaya

    SoC03 Kuboresha Mfuko wa Bima ya Afya

    Nashukuru sana Mkuu
  8. Kidaya

    Profesa aliyeko Mubashara ITV na Radio One: Soda aina ya Pepsi ina Vijiko Nane (8) vya Sukari

    Sukari ni hitaji la lazima la mwili, muhimu ni kuzingatia kiasi unachokula kuendana na shughuli unazofanya
  9. Kidaya

    SoC03 Tutumie maji chini ya ardhi kuongeza upatikanaji wa huduma ya maji

    Nashukuru sana kwa sapoti yenu Mkuu
  10. Kidaya

    SoC03 Tutumie maji chini ya ardhi kuongeza upatikanaji wa huduma ya maji

    Nawashukuru sana wote mliosoma na kunipigia kura. Kipeekee niwashukuru Jamii Forums wakiongozwa na Mkurugenzi wao Mr. M. Melo kwa shindano hili linalotupa fursa ya kutoa mawazo yetu chanya ya kuchochea mabadiliko tunayotaka kuyaona kwenye jamii yetu. Niwashukuru pia washiriki wenzangu wote. Lets...
  11. Kidaya

    SoC03 Kuboresha Mfuko wa Bima ya Afya

    Taarifa ya hali isiyoridhisha ya mfuko wa NHIF kama ilivyoripotiwa na JF
  12. Kidaya

    SoC03 Kuongeza uwajibikaji katika nafasi za kuteuliwa

    Inaleta faraja kuona Mhe. Rais anataka kuona mabadiliko ya kiutendaji katika mashirika, taasisi na wakala wa Serikali ili kuongeza tija na waweze kujiendesha kama inavyoonekana katika post ya ukurasa wake wa X (Twitter)
  13. Kidaya

    Nini madhara ya kuwa mlevi wa asali?

    Si rahisi kusema utumie vijiko vingapi kwa sababu kiafya matumizi ya sukari ya ziada (added sugar/free sugar) unayoipata kwenye bidhaa zilizowekewa sukari, na asalli, yanatakiwa yasizidi gram 36 kwa mwanaume na gram 24 kwa wanawake na watoto, changamoto ni bidhaa zetu nyingi ikiwemo asali, soda...
  14. Kidaya

    SoC03 Kuboresha Mfuko wa Bima ya Afya

    Kliniki zipo kwa ajili za kusogeza huduma za afya karibu zaidi na wananchi na kupunguza msongamano kwenye mahospitali Mkuu.
  15. Kidaya

    SoC03 Kuongeza uwajibikaji katika nafasi za kuteuliwa

    Thanks for appreciation Mkuu
  16. Kidaya

    SoC03 Kuboresha Mfuko wa Bima ya Afya

    Nashukuru sana Mkuu
Back
Top Bottom