Search results

  1. V

    John Mnyika amuita Rais kikwete Dhaifu, atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge!

    Jamani naomba nikiandika neno DHAIFU, mnipige burn maana ni tusi.
  2. V

    Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

    komba atahadharisha kupigana ngumi!
  3. V

    Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

    Haya sasa komba naye yupo kwenye scene!
  4. V

    Bungeni: Mwigulu Nchemba achafua hali ya hewa!

    mwigulu anatamani arushe ngumi, sasa nazidi kukubali kuwa bunge letu ni the commedy! ngoja tuendelee kuona uhondo!
  5. V

    Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

    Jamani mbona jejao, mwita 25, ritz siwaoni?
  6. V

    Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

    Nilitegemea jina la waziri mkuu litakuwemo kwa walio jiuzulu! hapa kuna kamchezo, wanataka kutuziba macho ili tusahau kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu hapa, huu ni muendelezo wa ile commedy!
  7. V

    Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

    Msanii wafilamu KANUMBA ameonekana tabata akinunua vocha Soma gazeti la risasi la Leo
  8. V

    Lema apewa chopa kujenga Chadema

    CCM, mtajuta kumnyanganya kamanda ubunge, hivyo mumeipeleka Nchi mikononi mwa makamanda!
  9. V

    Mvua Dar es Salaam

    Hahahahahahaaaaa
  10. V

    Sheria ya katiba kurudishwa bungeni kwa ajili ya marekebisho

    soma gazeti la MWANANCHI la leo ukurasa wa kwanza, habari kamili inaendele ukurasa wa nne.. je nao ni clouds?
  11. V

    Sheria ya katiba kurudishwa bungeni kwa ajili ya marekebisho

    MKUU pia soma mwananchi la leo linasema NCCR MAGEUZI wameripoti kuwa JK. kakubali kuwa sheria ya katiba ikafanyiwe marekebisho bungeni.
  12. V

    Sheria ya katiba kurudishwa bungeni kwa ajili ya marekebisho

    Gumzo la leo limejadili kuwa swala la kurudishwa bungeni kwa sheria ya kujadili katiba mpya, ifanyiwe marekebisho. je kulikuwa na umuhimu gani wa raisi kuwa na haraka ya kusign mswada wa sheria kabla ya kusikiliza maoni ya wananchi na vyama vingine? kama ingekuwa kusign hati ya vita au mkataba...
  13. V

    nyumba ya kupanga inahitajika haraka.

    nyumba iwe na master pamoja na vyumba viwili vya kulala, sebule kubwa dining, parking ya gari na iwe ndani ya uzio. iwe maeneo ya kuanzia ubungo kufuata moro road mwisho mbezi. bei isizidi laki tatu kwa mwezi. nalipa kwa mwaka mzima. mawasiliano 0654515490
  14. V

    kiwanja kinauzwa ostabay maeneo ya coco beach 450usd

    Wakuu hicho kiwanja nakijua, bei yake ni bilion nne na nusu za kitanzania.
  15. V

    Nyumba ya kupanga inahitajika.

    iwe na vyumba vitatu vya kulala kimoja kiwa master,iwe na uzio, pia parking ya gari ya kutosha. iwe maeneo ya ubungo, kimara mwisho mbezi. bei yake isizidi laki tatu kwa mwezi ninahitaji haraka. mawasiliano, 0654515490: pia ni pm kama unaona ni rahisi.
  16. V

    kiwanja kinauzwa mbweni mpigi

    kiwanja hiki kina ukubwa wa sqm 2079: kina hati. bei yake ni mll 250tsh. ni pm kwa mawasiliano zaidi.
  17. V

    Jenereta inauzwa mil 30 za kitanzania.

    jenereta hii ina 120HP, na 65KV. na ni three phase. pia unaweza kutumia kwa single phase. hii ni used from UK.
  18. V

    Dk Slaa: Kwanini sikumsalimia JK

    mi nadhani huyu mwandishi angeweka heading JK HAKUMSALIMIA DK SLAA.
  19. V

    inawezekana kupata mme facebook au mkamuaji?

    wakuu huyu binti naishi naye nyumba moja ya kupanga, sasa namuona kaamka saa kumi alfajiri kidume kipo ndani kaanza kuosha vyombo hapo karoni kamaliza na sasa anafagia, hii sio kwawaida yake yeye huwa anaamka saa nne hasubuhi. mmmmh nahisi kuna tatizo,
  20. V

    tupo kwenye mahusiano huu ni mwaka wa saba bado hatujaoana.

    wakuu nina umri wa miaka 32 male, na mwenzangu ana miaka 27: mwenzangu ni mpare mi mnyakyusa. tulianza mahusiano mwaka 2006; kabla hatujaanza mikakati ya ndoa nikaenda masomoni mwaka 2008. ikawa vigumu kuendelea na mchakato, lakini baada ya kumaliza chuo naona bado hakuna dalili ya kufunga ndoa...
Back
Top Bottom