So kama tuna hali hiyo je yatupasa kuiangalia huku jamii ikiumia na Kodi wanakatwa? Au kwa mawazo yako unadhani nini kifanyike kurekebisha hali?
Sisi wote ni watanzania na tuna haki ya kugawana sawa keki ya taifa.
Ndiomana alikuwa anagongewa mkewe mpaka kuzalishwa watoto watatu na kuja kujulikana sio wa damu take baada ya miaka 16. Sasa anahangaika Mahakamani akidai the talaka😆😆🙌
Kwahiyo nawe ni chawa? Yeye ni mwanaume na kwa anayofanya ndio jasho lake linapodondokea kama mwanaume. Yeye si sawa na wewe unayeomba tu wanaume wakupatie bila kazi yoyote. Toa jasho ili uipate hiyo unayoihitaji
Haha heshimu hisia za mwenzako. If you're there for him just let him do it whenever he wants to feel himself inside of you. Ukishakazwa utalala tu tena usingizi mnono na muruaa😉
Hata kama ni mtoto wa billionaire aachike tu. Siwezi kulea watoto ambao sio wangu kwa muda wote ule alafu nitaendelea kuishi na mwanamke pretending everything is normal and we are happy.
Na wewe ndio umeongea nini hapo? Ungesema MASCULINE tu ingetosha. Hakuna msamiati wa masculine man. By the way mawazo yako na yaheshimike maana umeeleweka😀
Hujawahi kuona baada ya kuleta ubaridi likashusha joto na kuamua kulizimia mbali? Hali ya pangaboi au fen ya kawaida kusupply hewa yenye joto au ubaridi itategemea na kiwango cha hewa kinachoingia na kutoka ndani ya nyumba/chumba chako (Air ventilation). Kama ndani ya nyumba yako kuna mgandamizo...
Kwanini uwe na simu janja mbili zenye matumizi ya aina moja kisa kukwepa vitu kama hivi.? Cha msingi na maana ni kutokuwa na video za porno kwenye simu yako full stop. A gentle man can't keep videos of bad contents with him, simu ni yako lakini sio muda wote umeishikilia mkononi, kuna mtu...
Na hili ndio ilikuwa vision and mission ya huo mradi, na sio haya tunayosikia sasa hivi. Kweli hii nchi bila mabadiriko ya kichama, watu wapya kuunda serikali maendeleo ya kweli tutabaki kuyasikia kwa majirani tu miaka nenda rudi.
Ukiona wilayani hawakupi ushirikiano na ushahidi unao, panda kwa RPC. Numbers za simu za wakubwa zote zipo kila kituo cha Polisi. Chelea chelea tuje kuibeba maiti yako ikiwa msituni haya.
Haha ulitoka pale NMB mpaka wapi na kupaona mbali mkuu? 🤣🤣
Utapeli hauna mjanja na ili usiwe manipulated na maneno yao ni palepale mwanzoni unapaswa uwakatae no matter how sweet the deal is
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.