Ujinga ni kubishana bila kuelewa mada, mapovu tu! Mimi nadhani haya mambo ya kidini tusiyatangulize kwa kila kitu. Dini bila kuwa wewe kwanza si dini hyo. Hata usipoelewa unachofundishwa na dini yako kwa tabia za kibishi utakwenda jahanam tu. Tusome mawazo ya wenzetu, tuyatafakari alafu tujibu...
Nimejifunza kuwa tatizo la siasa za bongo halianzii kwa wanasiasa bali ni wananchi wenyewe kutokana na uwezo mdogo wa kuchambua mambo ambao umekuwa ni mtaji mkubwa wa wanasiasa mchwara. Tafuta pa kusimama(Hoja yenye mashiko), matusi na kejeli havijengi. Hii forum itusaidie kujenga uwezo wetu wa...
Office : Afroweb Studios Arusha.
Sifa: Awe msichana mwenye upeo mzuri katika masoko na uzoefu kwenye kazi hiyo au yenye mahusiano na hiyo. Awe mkazi wa Arusha mwenye uwezo mzuri wa kuzungumza lugha ya kiingereza. Certificate, Diploma na Degree in Marketing itakuwa sifa ya nyongeza ingawa...
For sure kama kinachoendelea Arumeru Mashariki hakitabadilika, Chadema wana jimbo.Nahofia tu fununu za ununuzi wa kadi za wapiga kura ambao wadau wanaozungumzia pia hawajanipa ushirikiano wa kutosha niweze kupata ushahidi. Kwa aliyeko karibu na eneo hili na mdadisi mzuri afanyie kazi hili!
It is true, kaondoka lakini katuachia mengi ya kumkumbuka nayo. Mwananchi la leo tarehe 15 January limeandika baadhi ya mambo ambayo alipanga kuyafanya kama mbunge na amefanikiwa kwa 70% kwa mujibu wake lilivyoaandika Mwananchi. Alikuwa kiongozi mwelewa,mwenye mipango makini na anayofuatilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.