mkuu wengine hatujui mahesabu,hio 21 kwa kumi na nane meters ndio kubwa aje??? ni hatua au...mimi sijui ,naonaga tu humu wanasema 70 kwa 70 ni hekari moja ila sijajua huwa wanazungumzia nini,metres au hatua ndio maana nikauliza kama mtu anaweza kujenga nyumba ya vyumba vinne na kuzungusha ukuta?
hiki si kidogo sana wajemeni,mnaojua mahesabu tuambieni...kama heka moja ni 70*7O hiki hata robo heka hakijafika au?????je kinatosha kujenga nyumba na kuzungusha fensi??..mnaojua mahesabu mniambia nataka kununua.....
we lead very stressful life,kazi watoto,hofu ya kuambukizwa magonjwa/nyumba ndogo na mwanaume kujenga mazoea kutokua mbunifu fore play ni hio hio everyday,hivi vyote vinatufanya 'libido' kwenda na maji lol
jamani wekeni hapa forums kama hii jamii forums,za kiinglish nikajoin...nataka niimprove english yangu iwe kama ya akina nyani ngabu na kiranga,nimegundua muda mwingi natumia lugha ya kiswahili,nyumbani na familia tunawasiliana kwa kiswahili na pia online nasikiliza bongo fleva na kuchat nachat...
Bak or Aspirin to win,simpendi huyo EMT...he always think other people are stupid/not his level...nenda kule jukwaa ia international uone anavyojipendekeza kwa wakenya.
1.Afagie uwanja wa nje ya nyumba.
2.Aende kisimani kuteka maji(marudio ndoo kadhaa mpk zitoshe mahitaji ya nyumbani kwake)
3.Adeki nyumba,apike(jiko labda la mkaa unapika kimoja kimoja mpaka viive mmmnh kazi.....
4.Aandae watoto kama anao wadogo,Afue nguo kwa mkono
..........Jamani hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.