Kuna mengi yakustajabisha na kushangaza kuhusu wanyama, hasa tabia, hulka, mionekano hata mienendo yao.
Kuna ambao wanaguswa na kuwapenda simba kunakutokana na muonekano na tabia za simba, wapo wanauguswa na mamba, tembo, nyati, faru, nyoka, lakini binafsi naguswa mno na fisi madoa (spotted...
Hili ndio swali ambalo wengi hasa Watanzani huliliza mara kwa mara na ni swali ambalo popote ukijitambulisha kama mwenyeji wa Mafia basi aghalabu kwa mtu aliewahi kukifahamu kisiwa hiki kwa kusikia atakuuliza swali la msisitizo zaidi, Mafia si ya huko Zanzibar?
Wengi hawafahamu kua Kisiwa cha...
Awali ya yote naomba nikuhakikishie ndugu msomaji kua hii sio hadithi ya kusadikika au tuseme ni stori ya kutunga, hii ni habari ya kweli tena ukweli mtupu unayoelezea habari USIOJULIKANA na iliyojificha kwa miaka mingi na kwa watu wengi sana.
Kutojulikana kwa jambo kunatokana na tatizo kubwa...
kwahiyo chadema mshajua hamuwezi kuwaondoa ccm?.....huoni kwa thread hii umewarudisha nyuma na kuwavunja moyo makamanda wengi wanaotaka mabailiko nchi hii?.....wewe ndo unajiita kamanda waukweli?mpambanaji?...unahubiri ushindi wa ccm na kushindwa cdm?..............nimeamini kweli CCM DAIMA
sasa mboni kabla ya uchaguzi mlijiaminisha mtashinda?....mwanakijiji aliwashauri kama mnaamini sheria mbovu, police na tume watawabeba ccm msishiriki!! mboni mlishiriki uchaguzi?
Kwa mtaji huo ninakushauri ukubaliane na wazo lake la NO ukienda kula kiapo serikalini sidhani hicho kiapo utaapa kuwa utakuwa tayari kumnunulia kitimoto kumletea aandae ale pale nyumbani kauli yake kuwa haoni feature yuko sahihi kabisa ........kitimoto nini bana!!!! mi nipo tayari:tea:
Imagine una mwanamke ambae kwadhati unampenda na ushamueleza kua unampenda (lakini dini ni tofauti yeye mkiristo mimi ni muislam).......HAYUKO TAYARI KUBADILISHA DINI, NAMI SIKO TAYARI KUBADILISHA....... lakini mimi nipo tayari kwenda serikalini kula kiapo cha ndoa.....anashindwa kunikubali kwa...
Uongozi ni ushawishi. Uongozi siyo kutegeana, kutegeshana, kunyemeleana na kufukuzana. Na uongozi siyo vitisho au mikwara. Kiongozi anayeishi kwa vitisho ni kiongozi aliyeshindwa hoja. Hili ni kweli kwa vyama vile vile; chama kinachoishi kwa vitisho kimeshindwa hoja. Tafakari
Katika mjadala mzima mtu ambae kama ingekua nje ya jamii forum ningetukana mitusi mizito ili nimalize mihasira yangu ni THE BIG SHOW.....wewe mwanaume gani huna msimamo?.. mwanzo wa thread ulianza kwa kumpongeza na kumsamehe zitto na mpaka signature iliyokua inamkebehi iliifuta...baada ya...
Inahuzunisha lakini kuna fundisho kuu kwetu sote.
"Nilipofika nyumbani usiku ule, mke wangu aliponitayarishia chakula, nilimshika mkono na kumwambia, Kuna kitu nataka nikwambie. Mke wangu alikaa chini na kula chakula kimya akiwa tayari kunisikiliza. Tena nikagundua macho yake yalionyesha...
Habari zenu wana-jf wababa,wamama,wakaka,wadada, rika langu na wengineo pia
Hili ni suala la ukweli hivyo basi uliyesoma hii thread naomba unipe mawazo yako ili nifanye maamuzi ya mbolea na yenye tija kwangu....na hii thread sio sehemu ya utani na masihara.
mm ni kijana mwenye umri kati ya miaka...
Hivi huyu kongosho mwanaume au mwanamke? mana simuelewielewi some time namfikiria kama mdada na namtamani nipate nae kamda hivi ili kama ikiwezekana na akikubali nikale nae GUDTYM.
Na ninapowaza hivi hufikiria ku-pm lakini huwa nasita ila nikisomaga post zake nyingine nyingine lol, kichwani...
Enzi za mwalimu uchumba ulikua hata miaka kumi hujakubaliwa bado ila kajiunga jf january mpk may ashapata mweza!!! tz bila ukimwi haiwezekani kamwe,......poleni na tamaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.