Karibu Prof, hakika wewe ni prof wha ukweli, lazima tukubali kwenda na wakati. Karibu sanaaaaaaaa. Kuna Siku nilikusikia kwenye luninga, ukisema maeneo Kama ya mwananyamara, manzese yapimwe, zijengwe nyumba , maduka nk kuliko vijana ambao ndo wazalishaji Kuliko kiuishi bunju, mbali na mjini...
Ni ushauri mzuri sana, tuhakikishiwe usalama Watu kwanza, hatua Kama kuna wabunge wengi wa ccm, ambao wanaona kuishauri serikali ni kuidhalilisha japo ndo wajibu wao. Lakini hao wachache Siku zote ndo wanafanyikisha mambo sehemu yeyote duniani.
Wakuu hii ni aibu ya mwaka, ni fedheha, ni upumbavu wa Hali ya juu, siasa Kama inaingia Hadi kwenye elimu hiyo ninhatari sana, kwa taifa. Wazee watoto ambao wapo cha kwanza walifelt, serikali tukufu ya ccm, ikashusha maksi za ufaulu Hadi sabini Kati ya mia mbili hamsini. Same things. Mungu...
Nadhani hukumuelewa dr, alichosema kila seta imefaili, Mfano ni asilimilia ngapi ya watanzania wanapata umeme, Kama ni 18 maana yake TAnesco wamefaili kwa asilimilia 82 hivyo kwa kila idara/wizara. Russia kusoma. Utaelewa
Chanzo ni serikali Mfano watoto walio kidato cha kwanza mwaka huu ufaulu wao ni maksi 70 Kati ya 250, na hii serikali iliwalazimisha mafias elimu kote nchini kushusha kiwango cha ufaulu, katika Hilo unategemea nn,wakifika kidato cha nne watafanya nn Kama siyo utumbo. Lawama kwa mwalimu iko wapi...
Katika nchi ya Italia ambapo yapo pia makao makuu ya VATICAN, Papa John Paul II( sasa marehemu) alikuwa akiwahi katika moja ya vikao vya kanisa, akamwamulu dereva wake aendeshe gari kwa kasi ili awahi mkutano, yule dreva kutokana na maadili ya kazi yake alimkatalia Papa John Paul wa II, Papa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.