computer inaweza kuwa slow kwa sababu nyingi sana so kwa iyo angalia vitu vya umuhimu kwa mfano angalia how many software running in your system kwa kutumia task manager na ukill some service
au run refragment hard disk
......................................................
kikawaida computer yoyote ile ina taa niongini mwa hizo huonyesha utendaji wa HDD ,power lakini hii server inaonesha red taa zote.
kumbuka hiyo machine ni server ya intel na ipo picha yake hapo juu
motherboord yake ni ya Intel na shida ilianza kwa kukatika kwa umeme mara kwa mara lakini ha kushangaza ni kwamba shida ya umeme tumesolve lakini tatizo linaendelea kujitokeza
ni hiyo server ya juu inayoonesha red
mimi nina server the intel shida yake ni kwamba unapoiwasha itawaka kwa muda wa dakika 5 au mbili halafu inawaka taa ya red ikiwa inamanisha kuna tatizo lakini limejaribu ku clear bios bado tatizo linaendelea ..
cha kushangaza itawaka mpka inapotaka bu boot kwenye operating system ndo inakataa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.