East African countries have been challenged to remove obstacles to the timely formation of the planned federation, so as to enjoy the benefits of the expanded economic bloc.
The call was made in Dar es Salaam yesterday at a conference of academicians and representatives from Tanzania, Kenya...
nimejua kweli watz wajinga,mbona mwatetea sana ujinga,mimi nilitaka kujua kwa nini hamtupendi,wakenya wengi wakija tz wana coplein kuhusu tabia zenu,maendeleo ya east africa yataletwa na wote,acheni kufanya hivyo
nyie ndugu watz mimi nashindwa kuwajua,kama elimu yangu ndogo mbona tumeingia interview na watz wenye degree lakini kazi wakanipa mimi?kama elimu yangu ndogo confidence yangu ni kubwa
sasa nyie kama mnaona sisi twafanya kazi bila permit mbona hamtufukuzi?mnazidi kutaka sisi tulete ndugu zetu hapa kwa kuwa nyie hamtaki kazi,nyie mwapenda kukaa vibarazani na kucheza bao kila siku,kazi zinawashinda,sasa mimi nimeitwa kuja kufanya kazi tz na mshahara wangu utakuwa mkubwa...
nyie watz inaonekana hamuwezi kufanya socialize na watu kutoka nchi zingine,mna aibu sana,halafu mnapenda sana kujiona nyie mko na roho nzuri,lakini umaskini wenu wa akili utawaletea umaskini sana
mimi nilishangaa sana demu kunikimbia kwa sababu niliongea neno moja kwa english,mbona mnakuwa wakali,kubalini nyie uwezo wenu ni kadogo sana kulinganisha na wetu
acheni ubaguzi,nilikuwa tz last week watanzania wengi wanaonyesha hawatupendi wakenya,lakini wakenya wanasaidia kazi za kitaalam tanzania ambazo watz hawaziwezi kutokana na low eduction
tupendane dunia imebadilika sana
nashangaa sana nilikutana na demu mmoja nikajaribu kuongea naye alivyojua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.