wadau wa elimu kama wanafunzi wanaweza kujiuwa kwa sababu ya matokeo inakuwaje waziri na naibu waziri wa elimu wanakuwa na majibu ya dharau kwa watanzania kwamba hawatajiuzulu kamwe Raisi na mawaziri wake wanalipeleka wapi taifa ni wakati sasa wakuisemea nchi yetu kwa manufaa yetu na tanzania...
I like ua reaction guys thats makes me to think much better so how if ma research topic wil be impact of air pollution at Ilemela district in Mwanza Region
hilo ni tamko la maaskofu,wachungaji,mapadre na viongozi wa tec,cct,cpct jijin mwanza wametoa maangalizo yafuatayo hoja ya mahakama ya kadhi hamna sababu ya tume kuchukua maoni juu ya swala ambalo limeshatolewa uaumuzi so kitendo cha serikali kugharamia mafunzo ya watendaj wa mahakama ni kinyume...
jeshi la polisi limewaomba kusimamisha kupisha sensa akasema uwe ni mwisho wa visingizio kwa jesh hilo na baada ya siku tano kwisha watakuwa unstopable
nenda chuo unachotaka kuhamia mwone admission officer akuhakikishie nafasi ipo na akupe na registration number then wataarifu tcu kwa barua ili waweze kukubadil na iwe rahis kwa mkopo wako kwenda chuo ulicho thats all about.
As Economics student, teacher i think one of the reason is that our leaders decide to make us poor and the second is that lack of political willingness because the decision of what to produce?when to produce?how to produce and who gets whats depends on the political economics since most of...
haina chembechembe hata moja ya ukwel kikwete na serikal yake watambue kwamba maovu,dhuluma,ubabe,chuki,kiburi kinapozid kwenye jamii ajue kwamba ukomboz umekaribia.
nafikiri ni katiba mbovu inayompa mamlaka makubwa raisi ambayo kama tukimpata rais fisadi,mla rushwa,mhun automaticaly system itakuwa ya kifisadi,wala rushwa,wahun ikiwa inalindwa na rais mtukufu soln ni kuwa na katiba inayompunguzia rais mamlaka kama ya uteuzi na katiba inayorudisha mamlaka kwa...
mwanamapinduzi wa cuba che quavar alisema i would rather die standing than living kneeling lakin mheshimiwa hovyo amekubal kuish huku amepiga magoti kwamba bado ni mtumwa kifikra,mchumia tumbo mtu ambaye anasubir chama kimfanyie nin badala yeye kufikiri ataifanyia nin Tanzania ndugu zangu samak...
wao wana pesa sisi tuna MUNGU PEOPLEZ.............NDUGU ZANGUNI WATU WABAYA SIO MAFISADI,WEZI,ILA NI WALE WENGI WASAFI WALIO AMUA KUKAA KIMYA NAKUFUMBIA MACHO DHULUMA,RUSHWA,UBAGUZI UNAOFANYWA NA WATU WACHACHE.
Wabunge wa chama cha mafisadi kimechangia kwa asilimia kubwa kwenye maamuz yaliyofanywa na serikal kwa kupuuza saut ya uma napendekeza chama changu kizunguke nch nzima kuelezea unafik huu wa CCM au Chama kitafute saini milioni 8 kwa watanzania wote tuweze kumwajibisha mfujaj wa kod zetu za...
for the case of Africa especially Tanzania our leaders decide to make us poor if we wil have a leader who wil look the interest of Tanzania we wil move one step ahead because most of the decision are based on normative economics so if we have leaders who lack political and human willingness...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.