jamani Wassira ni moja kati ya wazee wapuuzi ambao hua sitilii maanani chochote wanachozungumza zaidi kuwaondoa wanangu sebuleni wasijeota ndoto mbaya kwa sababu ya msura wake. Ila pamoja na hayo litakua jambo jema kama Dr. Slaa akitolea ufafanuzi upuuzi huu wote uliosemwa juu yake. Ni sisi...
Anajitutumua tu... Mbona habari za kuaminika kutoka vyanzo nyeti vya serikali vinasema jamaa afya yake mbovu. Politicians sio wakweli anajua akisema hali halisi atapoteza mashabiki na itakua advantage kwa opponents wake. Naskia pia kapoteza vision kabisa aseme ukweli tu ila najua hafiki 2015.
Mkuu Kingkong nimekukubali inaonekana umeiva sana kwenye defensive skills after taking mlupo. Inabidi upewe muda wakati bunge likiendelea ukatoe hizi dondoo kwa wakulu manake milupo inakua ya kutosha Dom.
Jamani viongozi wetu waache kufanya vitu kwa mazoea.
Nyerere wakati wa uongozi wake alikua anakutana na hawa wazee wa DSM na kwingineko coz most of them ndo wlikua freedom fighters na suppoers wake kwenye harakati za uhuru. Sasa naona haka kautamaduni kanaendelea mpaka sasahv kwa lengo la...
ndugu yangu acha kuwadanganya madaktari.... Madocta gomeni mpaka kielewe(leaders have never been accountable for mistakes which emerges in their hands). Serikali yetu ina viongozi jeuri,wababe,wajivuni kana kwamba ni miungu flani. Njia pekee ni madocta wanayodemonstrate. Watanzania acheni woga...
Hata kama umuhimu wa vazi la kitaifa ungekuwepo si Joseph anaepaswa kuiongoza hiyo kamati.Joyce is smarter, clean and hardworker more than him.Si hivo tu bali ninaamini kuna watu wengi sana ambao wana uelewa mkubwa katika mambo haya...... Kusaga tayari ana kashfa za wizi wa kazi za wasanii ati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.