Aiseee ni mawazo mazuri sana Mkuu..!!
Nafikiri wakianzisha hiyo program banks nyingi zitaongeza portfolio na wakopaji watakuwa makini sana kwa sababu kiukweli ACADEMIC CERTIFICATES ndo maisha ya msomi so I believe graduate hatakuwa tayari kupoteza vyeti vyake kirahisi as a result atakuwa more...
Wadau samahani naomba mnijuze kwa wenye ufahamu?
Katika Mkoa wa Rukwa kuna machimbo madogo ya dhahabu na nasikia biashara ya dhahabu inalipa huko?
Je mtaji inaweza ikawa kiasi gani na soko lake likoje????
Its better ukaenda mahakama ya mwanzo au hata ya wilaya uliyo karibu nayo!!
Kawaida gharama yake kwa kila cheti ni TSH 1500/= na unatakiwa upewe receit!!
Lakini sasa kwa kuwa watu hatujui unakuta ukienda pale wanakupiga cha juu!!
FANYA HIVYO KAKA!!
Hata cheti cha Computer nacho ni part of...
Wadau naomba kuuliza, tuliitwa kwenye Interview na hawa jamaa wa ABG kwa nafasi ya CCTV OPERATOR tarehe 26/04/2012, wakasema watatujulisha??
So nauliza kwa yeyote ambaye amepewa feedback????
Wadau naomba kuuliza kwa mtu yeyote aliyefanya Interview NSSF!!
Waliwaita watu wote ambao walikuwa wanawahitaji kwa second Interview au bado wataita tena??
Acha kuwa na mawazo Mgando wewe!!
Usiwe na akili za kushikiwa!!
kwani pale wameambiwa waaply akina Juma, Mwinyi, Issa, Abdallah, Amina, Ramadhan, Abdulrahman na Zainabu??
Kwa hiyo pale akina John, Mathew, Esther, Hellen hawapo??????
Unavyoongea jaribu kuwa na full data sio unaropoka ropoka tuu...
Watu wana uelewa finyu Brother!! Tumshukuru M/Mungu tuu watanzania tunakaa pamoja mkristo na muislam wanapiga story, wanakaa nyumba moja bila kuhitilafiana tofauti na Nchi nyingine Kaka!!
Hata mimi Brother huwa nashindwa kuelewa, kama mtu ni Muislam anafanya kazi zake vizuri, anashirikiana...
Kwenye kazi siku zote unaangalia maslahi Kaka pamoja na job security!!
Sio unafanya kazi kwenye kampuni kubwa, wakubwa wanatoka matumbo wewe unakonda!!
Hayo yatakuwa sio maisha!!
Angalia maslahi Kaka!!
Nenda kaanza maisha huko wakati unapata experience then later on utajiunga na serikali!!
Na advantage ya chuo pia wanaweza wakakusomesha ndo huwaga program zao hizo!!
KAPIGE KAZI KAKA!!
Kaka weka mambo hadharani basi so that every one can understand well!!
Hiyo program huwa inakuwa siku gani na saa ngapi??
Yapi yanayozungumzwa!!
Na unaposema BENJAMIN MKAPA TOWER ni kubwa!! Ghorofa ya ngapi na uulizie unaenda wapi????
BAELEZEEE VIZURI BROTHER!!
Mambo mengine wewe yapotezee tu na huenda watu wakawa wanazusha tuu na isiwe kama ulivyosikia!!
Mimi mbona nImeenda kufanya leo na sijasikia hiyo habari ya DESA.
"KAMA IPO IPO TU" hata wafanye vipi ukiona hujapata basi ujue si ridhiki yako!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.