Mm nakumbuka lile tangazo la Topaz la baba kchonge na mama kichonge. Mida ile ndo napka chai niende skonga. Utoto ule ulikua raha sna, kwa kua hapakua na tv so mda mwng tulitumia kucheza kmama mama na kbaba. Hahahaa halaf mnajfunika kanga baba na mama, watoto wanaenda kuokota kuni.
Watajskia sawa 2 kwan unafkr hawajui kwamba UDOM ni sawa na shule ya kata. Hadi ma lecturer wnywe wanaponda utaratbu wa course zlivyomegwa megwa. Kwa mfano utakuta UDSM kuna course inaitwa Political science and public administration. Ambapo ndan yake kuna Vpengle vngi km democracy and election...
Dogo ananikumbusha miaka ya 1994 wakati nipo shule ya msingi. Zilikua ndio zetu hizo na marafiki zangu. Tukitoka shule tunapita kila nyumba yenye kengele. Tunagonga kengele halafu wenyewe wakija tunakimbia.
Dogo umeboronga. Hiyo ni kama Kashfa! Hapa wala hukua na nia ya utani nia yako ni kutueleza jnsi unavyomfananisha bi kidude.
Kumbe wewe ni Hovyoooooooooooooo!
CHADEMA UTAWAJUA TU KWA JAZBA. Kwanza CHADEMA OVYO, CCM OVYO, NCCR NDIO UPUUZI KABISA.
Halafu wewe utakuwa CHADEMA maana bila kutukana na jazba kibao hamuoni raha. Mind your life achana na mambo ya siasa. Wewe unaonekana ungekuwa IGUNGA ungeshakufa kwa kujidai unajitoa muhanga wakati mgombea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.