Now at A-town nnajitahidi kwa nguvu za majicho yangu kuangaza apa na kule ili nipate rafiki ama marafiki wa kike ambao tutapata kubadilisha maujanja ya namna maisha yanavyoenda.Ebu nifurahisheni kwa kunijibu mapema
mafuriko haya yanatokana na miundo mbinu na mipangilio mibovu ifanywayo na serikari iliyoko madarakani.Kupitia ukurasa huu nawasihi wananchi wenye mapenzi mema tusaidiane ili kuyanusuru maisha ya wahanga hawa wa mafuriko katika mikoa tajwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.