Mimi amenishawishi; na nafaham alimeshawishi wengi; wakati wa Kampeni aliutumia muda aliopewa vizuri; alionyesha upeo mkubwa wa kuelewa Watanzania wanataka nini
Hiki ndicho nilichoona na ku-waza mara tu baada ya kusikia habari hizi; ZZK is very strategic.
Mwituni kuna mnyama mkubwa sana mwenye manguvu, na anambio; lakini kwa sababu ya ukubwa wake na 'rigidity' hawezi kukata kona ghafla; ukikutana naye akakukimbiza cha kufanya ni kukimbia na kumpiga...
He he heeeee he hee; kuna jamaa yangu siku moja alikuwa anatupa story za kujisifia ujasiri wake, kwamba yeye ni jasiri sana hata kwenye giza nene akikutana na kitu chochote anapambana............; nikamuacha kama dakika kumi hivi tukiwa kwenye kichochoro flani nikamshtua .......... Nyoka huyo...
Sasa hao Wazee Wastaafu waliitwa kutoa ushauri, wakatoa; ina maana walipoteza tu muda wao?. Kauli kama hizi zinaifanya CCM ichukiwe pamoja na uongozi wake.
matokeo yalipokuwa 96% hukusema uzi ufutwe; leo matokeo 55% unasema uzi ufutwe; bado kuna miaka mbele...... siku yakija 25% utasema JF ifutwe wakati wao sio waliotafiti
Nimependa sana coments za Ulimwengu, kwa kawaida binadamu hataishi kwa mkate tu, uhuru wa kifikra na kimtazamo ni muhimu sana.
Tanzania haiwezi kuendesha mambo yake in 'isolation', lazima ipambane na nchi nyingine duniani katika kujiletea maendeleo kwenye wakati huu wa utandawazi, kitu muhimu...
Nakubaliana na wewe 100%
Kuelekea Christmas mwaka jana nilisafiri kwa Barabara tokea Entebe-Uganda kupitia Mtukula, Bukoba, Nyakanazi, Kibondo, nikapandisha kwenda Manyovu kupitia Heru/mnanila. Kisha nikaunganisha kuja Dar kupitia Uvinza, Tabora, nzega.....
kwa kuwa nilipafaham Kigoma siku...
Ya
Watanzania si wajinga acheni ushamba, kila Juhudi zenu ovu zinaifanya mioyo ya Watanzania kuwa migum until righteousness preveil, either leo au Kesho, kumbukeni kwa Mungu siku moja ni kama Miaka elfu, na miaka elfu ni kama sikumoja, days are passing but the anger is pailing up, bit by bit
Wabongo bwana, hayo mabasi ni kosa kusema ya mwendo Kasi. Yanaitwa mabasi yaendayo haraka. Kwamba speed ya kawaida ila hakuna vikwazo njiani. Kwa kiingeleza wa natumia neno Rapid bus na sio Fast bus
Mtu mwenye dhamana kubwa ya usalama wa raia na malizao anaongea kimzaha kabisa as if we don't have brains kujua upupu wake.
Tanzania is very unluck, very very unluck. Tuna viongozi wanatufanya sisi wengine tulio nje at times tuone aibu kwa sababu ya low minded leaders we are having down there...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.