Yaani anakera kweli kweli huyu mtu!! ni mtu wa urasimu wa rushwa na urasimu mkubwa. Walala hoi wataweza wapi mnada?? mtu mmoja anataka kubadilisha mfumo mzima kwa manufaa yake?? Tuseme inatosha sasa.
Waziri Kagasheki kwa mara nyingine ameendelea kuonyesha ni jinsi gani asivyomudu wadhufa aliokabidhiwa baada ya kukalia vibali vya kuvuna misitu vilivyotakiwa kuwa vimeshatolewa na misitu kuwa inavunwa muda huu.
Hapa wizarani kila mtu ameshangazwa na hali hii kiasi cha watu kumkumbuka Maige...
Haya sasa ni mahaba ya kupitiliza, unaanzisha uzi kumpongeza mtu kwa kuwasalimia watu Iguguno? This is absolutely ----! Kwanza Iguguno haioko Iramba Magharibi bali iko mashariki. Acheni kujifagilia mambo yasiyo na msingi. Furthermore, huyu Kitila kama ni kupendwa JF, kweli. lakini kule Iramba...
Hilo utatueleza wewe. Ubadhirifu ni ubadhirifu tu haijalishi katiba inasema nini. Yaani mtu aibe halafu useme katiba inaruhusu. Hakunaga bana! tumeshashtuka sasa yawezekana kweli huu ni mradi wa watu
Una uhakika?? uhakika gani?? Acha kupotosha umma wewe kila siku. Leo hutupati. Toa basi huo ushahidi au uhakika kwamba si pesa za chama. Na je unabisha kwamba Dr. Slaa hakujikopesha milioni 140? Toa ushahidi. Explain yourself!
Martyr: You have a point!! I do not see anything special on this Kitila guy,, hakuna kitu pale ni huo udokta tu. Kuna watu makini sana Iramba ambao hata hawajitutumui, na wanairamba wanawajua vizuri sana. Wee utaona tu aibu atakayopata huyu Kitila akijaribu. Mark my words, nawajua wanyiramba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.