Aisee now i see the light... kila mwezi nalipa 30K na nakaa mwenyewe nyumbani na weekdayz nipo kazini!! Mpka nikajiuliza labda kuna mtu ana kiwanda halaf bomba kaconnect kwangu
itabidi utumie cheti cha form 6 kama ni usaili wa wilayani huna way out yaani jisahaulishe kabisa kama una bachelor labda mpaka baadae kwenye kuandikisha particulars baada ya kuripoti kwenye kambi za mafunzo. Ila kama una mtu JKT mwenye uwezo wa kukupa fomu ya JKT then huna haja ya kupitia hizo...
Wadau mimi nashindwa kuelewa! Huku kwetu maeneo ya Tegeta, Mbezi Beach, Makongo mpaka kupandisha huku juu Mbweni hadi Boko Bunju umeme unakatika kila siku kwa takribani masaa zaidi ya 7, tujuzane jamani mliopo maeneo mengine ya Dar hali ni kama hii au ni huku kwetu tu!?
kabisa kiongozi na mara ya mwisho nilipotembelea mgambo niliacha shamba la kwa msanga linaongezwa ekari kama 4000 mpya yan ndio walikuwa wanakata miti na kuondoa visiki kwahyo hawa vijana wanaoenda intake hii hilo shamba litawahusu sana, mgambo mpaka imeongoza uzalishaji wa mahindi kwa vikosi...
kambi active za mafunzo ya jkt kwa sasa ni ...Kanembwa, Bulomborwa (zote Kigoma), Mgambo na Maramba (zote Tanga), Ruvu (Pwani), Msange (Tabora), Rwamkoma(Musoma), pamoja na Mlale(Songea). Hatuwez kusema kambi ipi ina ugumu au urahisi kimafunzo maana hilo suala linategemeana na wakufunzi ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.