Mi binafsi sijawahi kutegemea kitu kipya toka kwa nape na kama kuna kosa kubwa magufulo amefanya ni kulipa hisani kwa nape kwa kumpa uwaziri huyu jamaa ana uwezo mdogo sana kiuongozi,kufikiri kama kiongozi,hata uwezo wa kawaida tu nape ataharibu sifa ya magufuli kama siyo leo within this two years.
chezea serikali ya jakaya wewe ii serikali noma kwani we umesahau ishu ya jakaya mara babu wa loriondo ishu ya nishati sasa posho za wabunge ishu ya gamba lf ishu ya hamad nb seid watanzania tuna sahau inapita iyo ikija ishu kubwa inatafutwa nyingine ya kupunguza malali mpaka tunasahau.
chezea serikali ya jakaya wewe ii serikali noma kwani we umesahau ishu ya jakaya mara babu wa loriondo ishu ya nishati sasa posho za wabunge ishu ya gamba lf ishu ya hamad nb seid watanzania tuna sahau inapita iyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.