Hongera star tv ningependa niite tv ya taifa. Star tv hakuna kulemba wala upendeleo big up sana.
Tbc tv ya chama cha mapindu nawatakiwa kifo chema.
( R.I.P TBC)
Duh! Ni kweli Kikwete ngoma imemshinda hii, nilivyokuwa nikimsikiliza ktk hotuba zake za kampeni moja kwa moja nilihisi huyu mzee anataka mjengo si kwa masilahi yetu bali yeye kwanza.
Kitu kingine kinacho niuma kwa mwenyekiti huyu wa ccm na kunifanya kutoipigia kura ccm hata siku naingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.