Ni nchi inayoongozwa na viongozi wasiojiamini waoga na wasiokuwa na sifa za uongozi.! Kilichowaeka madarakini ni masilahi tu thats why wanaogopa kuendesha nchi kidemokrasia.! No democracy in Tanzania.!
Dah.! siamini kama anawezatokea binadamu mwenye roho mbaya, kibaraka wa wakubwa, msaliti. Mchawi, na muuaji kama huyo jamaa hapo juu aliyejipinda kutuandikia utumbo, ujinga na uongo ulio pitiliza.! Repoti zakinafiki kama hizi yeye zinamsaidia nini.! Nanamuapia kwamba milele yote utaendelea kuwa...
Kwenye moja yakauliza profesa alisema madai ya wanafunzi niya msingi.! Sasa iweje leo aje kuwageuka nakuwafukuza chuo.? Maana mgomo umesaidia watoto wawakulima na wawindaji waliokuwa wamekosa mkopo kupata.! Ww unaesema maamuzi ya profesa ni sawa dhambi hii pia na ww itakutafuna.!
Kizazi cha dotcom ndo hiki sasa 14yrs kaanza kuwaza kumiliki blakbry 18yrs catawaza kumiliki hammer.! But cio mbaya maana familia itafurahia kupokea mzungu koko.!
Tanzania ili 2endelee inatakiwa apatikane kiongozi mwenye msimamo na mwenye asili ya udictator ili kusimamia rasilmali zataifa kwa uadilifu.! Naoma lowassa ndio mwenye sifa hizo na ana uwezo.! 2achilie mbali mambo ya skendo maana inasiri kubwa ndani yake.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.