iv kwani we ni malaika unajua kila kitu?acha kumshambulia mwenzio.jamaa kaona hapa ni kisima cha maarifa ndo mana kaamua aombe ushauri amsaidie baba yake alie ktk kpnd kigumu.uwe na busara!!
malila nashndwa kureply pm yako kwasababu nimejiregister jana tu na ninaambia niwe na 5 posts ndo ntaweza kureply.naomba tuwasiliane kwa email kama hutajali. theonyoni@gmail.com.
thanx in advance
Hiv ni maeneo gani yanalipa zaidi kwa kilimo cha matikit maji.naomba kujua pia bei za mashamba kwa maeneo hayo.seriously nataka nianze biashara hii, nipo tayari kuhamia maeneo hayo ila kwasababu ndo ntakua naanza ningependa kupata maeneo ambayo mashamba si bei ghali sana.
Naombeni msaada wenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.