Habari TANESCO, niko Tanga Hapa nilipo hatuna umeme kuanzia asubuhi mpaka sasa saa sita usiku na ni eneo dogo sio mtaa wote, nimejaribu kupiga Tanesco Tanga emergency simu zao hazipatikani. Kwa kweli ni tatizo
TANESCO Tanga kuna tatizo gani!? Umeme unakatika kila siku jana umekatika saa 9 mpaka saa tatu na nusu usiku, na leo umekatika tena bila taarifa na tukipiga simu zenu kuulizia zinakua busy aall the time au haziendi! Please help! Au atleast mtueleze shida ni nini na ni tatizo la mda gani ili...
Kwa kweli kwa Tanga umeme umekua changamoto kila siku au baada ya siku moja lazima umeme ukatike, Mikanjuni sasa hivi hamna umeme!!! Inachosha kwa kweli na hatutaarifiwi kama ni mgao au la!
Sent using Jamii Forums mobile app
Worse enough alikua anamponda tu Magu bila yeye kusema solution concrete na ninadhani kilichomharibia zaidi anaponda vitu ambavyo watu wanaona vimefanyika!
Heri angekuja na hoja kama za Queen Sendiga angepata kura nyingi zaidi
Shida Wazungu hawaishi Tanzania, kuna watu kibao wanaomkubali Magufuli wengine hawako hata mitandaoni ukipata bahati ya kukutana na watu mbalimbali/tofautitofauti unaweza ukashangaa idadi ya watu wanaomkubali!! Ndo maana nikasema ni heri kusema baadhi ya Watanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.