Search results

  1. D

    KWA MLIOKO LONDON au mliokuwepo mkarudi. Ushauri.

    mkuu london ni mji mkubwa,kwa tanzania unaweza linganisha na dar.gharama za maisha zipo juu kiukweli hususana kodi ya kupanga nyumba.na pia kazi hizi za kawaida uwa inategemea na unavyojituma kutafuta na pia hali ya uchumi kwa kipindi hicho.kuna wakati unaweza ukapata kazi hata ndani ya wiki tu...
  2. D

    Tume ya ajira na sharti la kuthibitisha vyeti kwa mawakili na mahakimu

    kiukweli wanahitaji kuangalia upya hicho kigezo kulingana na hali halisi ya waombaji wa ajira.kama ulivyosema ni gharama kwenye kucerity vyeti,pili ule umuhimu wa kucertify vyeti haujachukuliwa kwa lengo lile wanalotaka wapo.kusema hvo namaanisha ni kwamba mtu anaenda mahakamani kucertify vyeti...
  3. D

    Tahadhari kwa madereva,hasa wa Dar

    ni vyema mkuu umetoa tahadahari.na mimi huku maeneo yakigamboni njia ya kwenda mji mwema kuna ajali imetokea maeneo ya magogo.imehusisha gari mbili ndogo.muhimu kuchukua tahadhari mvua na weekend vinachangia sana.
  4. D

    Tigopesa

    wakuu salama...nilipatwa na mshtuko baada ya kwenda kutoa pesa kwa wakala wa tigopesa na kuambiwa salio halitoshi,huku nikiwa nimetumiwa elfu 25.nikahamaki kidogo,uzuri yule dada akaniuliza hiyo pesa umetumiwa au ilikuwa salio kwenye akaunti yangu?nikamjibu nimetumia,akasema naomba nione hiyo...
  5. D

    internet ya bei nafuu

    sawa mkuu hapo kweli bora punda afe ila mzigo ufike
  6. D

    internet ya bei nafuu

    salam wadau,mtandao gani kwa tanzania internet yake ni nafuu na huduma iko vizuri?hii yote inatokana na airtel kutukatili bundle yetu ya 400 MB kwa 2500.asante
  7. D

    Kuitwa Kazini NSSF

    udini na vimemo vilitawala mchakato mzima.
  8. D

    Mbunge Komba ashtakiwe

    swali la kujiuliza kama kusingiziwa kwanini asingiziwe komba?na akisingiziwa kuna faida gani?wanaomfahamu kwa ukaribu komba wanadai lulu ameshawahi kwenda na komba kijijini kula mbambabay kwa ajili ya vacation.
  9. D

    nyumba ya kupanga

    laki moja hadi laki moja na themanini mkuu
  10. D

    nyumba ya kupanga

    wakuu natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kigamboni iwe karibu na barabara iendayo mji mwema.sifa za nyumba iwe chumba kimoja cha kulala,sitting room,jiko,choo na iwe ndani ya fence.naomba kuwasilisha.
  11. D

    Do You Save?.... How Much?

    mjini watu wanaishi kwa mbinu nyingi sana kwasababu mishahara haifanani na matumizi yao.
  12. D

    kwa wakaka wa kitanzania tu

    maisha ya sasahivi yamejaa maigizo mwanzo mwisho.watu wanakufa na tai zao shingoni,ni pale inapofika mwisho wa mwezi na kukuta salio chini ya laki na nusu.mjini sasahivi kuishi kunahitaji akili nyingi sana na kujikubali mwenyewe.lakini ukitafuta gari ili uonekane mambo mazuri wakati linakuzuia...
  13. D

    Ntafuta generator ya kuwashia taa zangu tu sio pamoja na fridge

    mkuu kwa ambayo kubwa kidogo inayoweza kuwasha tv,fridge na taa inaweza ikagharimu kiasi gani?na pia uwezo wa kuhifadhi umeme inakuwaje wakati wa mawingu au mvua?
  14. D

    mayai ya kuku wa kienyeji

    wakuu habari zenu.kwa uhitaji wa mayai ya kuku wa kienyeji yanapatikana,unaweza wasiliana namba 0653685339.yanapatikana maeneo ya kijichi. Bei ni 12000 kwa tray.naomba kuwasilisha wakuu.
  15. D

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    sawa mkuu,namba ya simu ni 0653 685339. Yanapatikana maeneo ya kijichi,ukiwa sehemu inayofikika kiurahisi unaweza ukaletewa.
  16. D

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    habari zenu wakuu.kwa wanaohitaji mayai ya kuku wa kienyeji yanapatikana,tunaweza wasiliana,naomba kuwasilisha.asanteni.
  17. D

    Mapema: Pugu high school

    toilet zinaitwa 'battle' almaarufu beto kwa maana ya kwamba ni uwanja wa vita ukiingia unaanza kuvua nguo zako ukiwa mbali mana ukienda nazo ukitoka zinakuwa na harusu ya toilet.pia pugu kuoga ni nje tu so lazima usubiri giza liingie ndio uoge..ni hayo tu mkuu
  18. D

    Kuajiriwa ama kujiajiri

    wakuu tatizo la uoga wa watanzania kutake risk linachangiwa na na vitu viwili. 1.mfumo wa maisha tuliyolelewa-tangu tukiwa wadogo tunaambiwa soma uje kupata kazi nzuri,na sio soma uje kutengeneza ajira.sasa hii inatujenga hadi tunapomaliza chuo kuamini kazi nzuri ni ile tu unayoenda kuajiriwa...
  19. D

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    mkuu kuku hao wanapatikana wapi?
  20. D

    kuku wa kienyeji

    ndo muda muafaka huu mkuu
Back
Top Bottom