kwakwel watz tunapo ea kama wanafunz hao wte wamefutwa mtkeo bac we r lst hwa watt wte wataenda wap kama sio kuvuta bangi na wz alafu l8r waje kukamtwa na polc bt wo z de source wao ndo source of al ds ts true hawa viongoz we2 wanatengeneza matatzo ili wazd ku2tawala!
Baraza la elimu limetangaza kuwafutia wanafunz zaid ya elfu tsa matokeo yao ya darasa la saba:sawa wamekosea kuigiliziana lakini wanafunz wte hwa wataenda wap 2kumbuke kwamba sio wazazi wote wenye uwezo wa kuwapeleka watoto wao shule za watu bnafsi kwa maana hyo watoto hawa wataenda kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.