Search results

  1. L

    Hii ya Lowassa imekaaje?

    Hata kidogo.... Kumuita Waziri mkuu si sawa. Na kumuita Waziri mkuu aliejiuzulu inakaa sawa tu. Labda kwako haijakaa vizuri.
  2. L

    Gazeti la Uhuru laandika; Wazee wa kimilia Arumeru Hawataki Kumuona Lema!

    Mimi naona hao Wazee wanafikiri kwa kutumia.................... Badala ya kichwa
  3. L

    Majeruhi wa ajali ya Regia afariki dunia

    Na bado. Hadi Wagonjwa wote Wodini wasambaratike. Haiwezekani Mabwege wapate Posho zaidi.
  4. L

    CCM, tafadhali lisafishenil eneo la uwanja Kirumba, mlilpopikia

    Basi unadhani pilau hadi leo limo tumboni?
  5. L

    Familia ya Jitambue Popote Mlipo

    Bila shaka waliokuwa wakitoa Makala za Utambuzi wapo. Wajitokeze. Baadhi nawakumbuka kama Guru Francis. Shabani Kaluse, Haroun Janah, Stella Kamitu, Amri Gembe, Juma Yona na Asha Mkindi. Hawa woote walichangia kutoa Makala ktk Jitambue. Wako wapi? Kwanini wasikutane wakakubaliana kurudisha...
  6. L

    Kwa familia ya jitambue

    Mmoja wa wana JF ametukumbusha ule wakati tulipokuwa tunasoma Elimu ya Utambuzi kupitia Gazeti la Jitambue. Lilitolewa na TK Media. Baada ya kifo cha Munga Tehenan, gazeti nalo likapotea. Hata hivyo nina hakika kwamba Wanachama na Watanzania wengi wamesikitika sana kulikosa Gazeti hilo. Naomba...
  7. L

    Familia ya Jitambue Popote Mlipo

    Dah!! Umenigusa paleple. Nimekuwa Mwanachama wa Miaka yoote. Lakini Kifo cha Munga kimetupokonya Mtu muhimu sana. Gazeti JITAMBUE lilitoa faraja kwa wenye Msiba, wenye shida na kila nyanja ya maisha. Lilitufanya tukubali hali halisi ya maisha tuliyonayo kwani lilitupa moyo. Niliwahi kumuuliza...
  8. L

    Press Conference ya Kova, ni halali?

    Ngojeni kidogo...kidogo tu... Huyu Jamaa Kova ni yule aliyewaweka mbele ya kamera wale jamaa waliokamatwa na Muro akatuambia ni Matapeli na ni wa kuogopwa sana... Lakini mwisho wa siku wakaachiwa huru na Mahakama.
  9. L

    Gazeti la Mwananchi na Habari ya Kiudaku kuhusu Dr. Slaa.

    Hebu tutulie. Tusubiri tuone kwenye Msiba wa Sumari. Je wote watahudhuria kumuaga na kumzika?
  10. L

    Serikali ya JK na Mkakati wa Kilimo Kwanza- PowerTiller

    Pita pale Dodoma uone namna yalivyorundikwa. Yanapauka na jua tu.
  11. L

    Askari Polisi Shinyanga,walificha gazeti la UHURU!

    Aaaaa!!! Dah!! Hili nalo jipya. Huyu RPC mbona ana hatari? Kwani nawe ni mmoja wa waliopigwa Picha? Funguka!
  12. L

    Askari Polisi Shinyanga,walificha gazeti la UHURU!

    Hiyo Mahakama ilikuamuru au ilikushauri tu uende UHURU? Ulikuwa na uamuzi wako binafsi kuamua Gazeti lolote.
  13. L

    Wahindi na Waarabu wa Tanzania ni Wabaguzi

    Tujadili ya msingi. Na tumuombee Regia apumzike kwa amani.
  14. L

    Askari Polisi Shinyanga,walificha gazeti la UHURU!

    Kule Shinyanga sijui hayo Magazeti yatapelekwa wapi. Hebu panda basi kalinunue Maswa au Bariadi.
  15. L

    Askari Polisi Shinyanga,walificha gazeti la UHURU!

    Dah!! Si umeona? Yaleyalee. Mimi nilisikia tu wakati linasomwa Redioni asbh ile. Hatujui ndani kuna tuhuma zipi. Lakini Kichwa cha habari kinajieleza.
  16. L

    Askari Polisi Shinyanga,walificha gazeti la UHURU!

    Hawa Polisi nao ndiyo wa kuwajadili humu. Inakuwaje wapoteze muda kuyazuwia yasisomwe? Kulikuwa na tuhuma za Rushwa Polisi wanataka kwa Madreva khs leseni. Lakini hiyo si ndio Polisi Jamii kuwaanika?
Back
Top Bottom