me liverpool damu sema kwenye hyo page bado cjakuwa member kama vp ni add au nielekeze ntalpata wap....then hyo fainal itakuwa ngumu ila naamn 2naweza lichukua usihofu
baada ya miaka mingi kupita bla ya kupata ubingwa sasa naona mashabiki wa kweli wa liverpool ndoto ze2 za kupata huo ubingwa unakaribia hiyo jumapili 2takapo cheza fainali ya carling cup na cardiff city pale wembley ijapokuwa kombe lenyewe la kuku hvo hvo angalau 2lchukue
mimi naona anaweza kwenda mahakaman na kudai haki yake na kuraise objection that aliingia kwenye mkataba kwa kudanganywa(fraud) coz wao c walmwambia hawajeng mnara lakn matokeo yake wamejenga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.