Ahaa nahao viongoz wako wa ccm je,,?hawana hayo magorofaa,,??nafkiri huwajui vizuri pole sana ungejua magorofa,viwanja,magar,waliyonayo ungebak mddomo wazi
Nawasiwasi kama ulimboka ataongea ukwel uliomkuta serikali itamtuliza vzur yy na familia yake malezi na ada za watoto ,jumba hko beach,migari ya kufa mtu ehh ndo aongee nn ,,??ngoja muone atakayoongea mtabaki na mshangaoo chezea serikali,, na mihelaaa lets wait n c
Hahaha unaongelea tanapa alaa huko c swala la kuuliza atii kujuanaa lazimaa watu tusha apply kazi huko mara kibao na qualifications tunazo hawatuchukuii ukiona watu wanaochukuliwa utabaki na mshangaooo ,,!!
Anajenga nyumba kinzudi gobba nyumba yenyewe ya kawaida sana tena ipo mabondeni nahaijamalizika naukiingalia haijagarim hata mil kumi sasa hyo mil 62 za harusi alitoa wap,,?
Mishahara yao ni midogoo sana hasa hawa ma MP na Private lakini ma boss wao mishahara minonoo mpka basi kwahyo sishangai wakiwa kwnye hali hiyo na kunywa viroba ukiona sehem wanazoishi utasikitika sana,!
Spika hakua na habar za uhakika kuhusu hiyomeli kupinduka na kuzama ndio maaana alikua anamngja waziri husika atoe taarifa kamili therfore asingeweza ahirisha bunge kbla ya taarifa kamili ths my point of view,,!namtetea kwahlo lkn mwngne hapanaa
Jarbu kujirdhsha mwenywe kwa kupiga nyeto it real helps kuliko kukutana na wanawake wengne ukaleta magonjwa kwnye familia nyeto haina shda kbsa..!kazi kwako
Mnasahau vyuo kama Kampala International University (KIU) chuo ambacho kinakua kwa kasi sanaaa na aim yao nikukifanya kua the Havard of Africa..?endeleen tu kushindana mara udsm ,,mzumbee,,,!vyuo vingne kama udsm ni jina tuu
Nipo likizo moshi nimeenda hapo nakumatt tena mara nne for shopping kuna wakenya kibao wameajiriwa nawapo serious thy ve good customer care,,lakin kuna watz pia sijajua serikal inachukuliaje hili la wakenya kuajiriwa kwa wingi hvyo but kila kitu hapo ni kizur na tunafurai kupata nakumatt moshi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.