Falsafa ya vita vya nyuklia ni kuwa hakunaga mshindi, kwa maana uharibifu utakao tokea huwa ni kwa pande zote zinazo pigana, kubali au ukatae hiyo ndio ipo hivyo.
Matokeo ya vita vya nyuklia huwa ni mabaya sana kwa pande zote zinazopigana na zisizo pigana, busara ndio huongoza wenye akili...
Mmarekani anachoangalia ni adhari kwa kwake na kwa dunia, uwezo wa kumpiga mrusi anao tena wakutosha tu, tatizo lipo baada ya kumpiga matokeo yake ndio yanayoogopesha.
Mungu azidi kuwaongoza kwa busara na hekima kwani ata wahenga walisema ni bora nusu shari kuliko shari kamili.
Brother Pascal Mayalla nimesoma badiko, kuna wakati nikajikuta nacheka kwa nguvu, sijui kwa nini.Ila kwakweli wewe ni bonge la Bonge la muandishi, ninashukuru kubahatika kusoma maandiko yako.
Tatizo umeandika vitu vingi sana vya ukweli kutoka moyoni kwako, umesahau kuwa vitu vingine vya ukweli...
Brother Pascal Mayalla Akhasante sana kwa darasa la bure, umenigeinisha sana kwa waraka wako huu. Ila nionavyo kwa uzi huu jiandae kisaikolojia kuitwa kuleee ulipo itwaga.😜
Hongera Paskali Mayala kwa hatua uliyofikia ya kuitwa kwenye Kamati ya maadili, tukio hili naweza kulifananisha na dhahabu kuingizwa kwenye tanuru la moto mkali, ukitoka utakuwa imara na wa thamani sana machoni mwajamii. Big up.
Ndugu Shukuru Haijakukuta. Kuna Binti namfahamu alitakiwa kufanya Mtihani wa Taifa mwaka 2003 aka omba kuhairisha kutokana na kupatwa na maradhi alikubaliwa na kufanya mwaka unaofatia yaani 2004 kwa namba zake za mwaka 2003 matokeo yake kaitwa anacheti feki.
Je ulize mtu kama huyu serikali...
Fanya ifuatavyo
Download IP webcam kwenye playstore
Kisha install na kuifanyia configaration
Then fungua hiyo app na u-start server
itaonesha IP address ya hiyo simu.
Note: Hiyo simu ndio itakayotumika kama server na ndio itakayokuwa ina monitor eneo husika
chukua simu yako nyingine au nenda...
Hakika Lipumba Kawatukanisha Ma-profesa. Kuwa msomi na kushindwa kusimamia msimamo wako ni kitu kibaya sana, kusema kuwa aliombwa na wazee kutengua kujiuzulu kwake akusaidii tusimwone kama mtu asiye na msimamo.
Je anafikiri Dr.Silaa hakuna wazee walio mfuata na kumshauri ageuze msimamo wake?
My...
Kila jambo huwa linamwisho wake, sijui kwanini watu wengine hawapendi kukubali? Kujinafkisha ili ufikiriwe kwenye nafasi ya uteuzi katika zama hizi hakupotena. Tumeambiwa "HAPA KAZI" Jamani Tufanye KAZI.
Huyu wa daimond sio mlinzi bhana, huyu atakuwa msaidizi wake kwajinsi anavyo onekana kwenye picha,mlinzi gani anabebeshwa adi mabegi kiasi hicho? Kama kuna mtu anataka kumdhuru bosi wake adi atupe apo mabegi bosi siatakuwa kashavimba vyakutosha?
Gazeti la Mtanzania naona kama linaungaunga maneno kwani alijaweza ku balance story, alijaweza kumhoji huyo mlinzi mwenyewe na kupata maelezo yake kama kweli kafukuzwa ama laa, pia alijaweza kumhoji mkuu yeyote rasmi kutoka katika hiyo idara ya Usalama wa Taifa istoshe pia aijaweza kueleza kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.