kama ni mbunge harali mola amponye ampe uzima arudi kuwatumikia wananchi kuhusu mengine mi sisemi maana siwapendi wezi wa kura.......ila kila nafsi itaonja mauti
kamanda wa ukweli lazima apitie misukosuko........na tusiwalaumu polisi tatizo katiba inaelekeza watii amri zote zinazotolewa na wakubwa...wameamriwa na mkubwa sasa waache kibarua kiote nyasi.....
kwani ni lazima nitumie umeme wao. najipanga kutumia njia mbadala siwezi acha lipa ada na kufanya maendeleo ya maisha kisa ninunue umeme mwingi kuikomesha tanesco.sishindani na wajinga
wanachuo wa chuo cha elimu ya udaktari muhimbili waanzisha fujo kipindi wenzao wakifanya sherehe za kumaliza vurugu hizo zilipelekea kuitwa polisi jambo lililosaidia kwa kiasi kikubwa kuwepo kwa utulivu,katika hali isiyokua ya kawaida wanachuo hao walikua wakirusha mawe bila kujali uwepo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.