Kama unafam mambo haya naomba unijize.
Hivi inawezekana kijana raia wa Kenya anaesoma shule ya serekali nchini Kenya kupata uhamisho na kuja kusoma shule ya serekali hapa Yanzania?
Kama mdivyo naomba utaratibu wa kifuata.
Nimeulizwa hili swali na mtu anaetaka kutoa mwanae Mombasa kuja Dar es...
Comment #40 [emoji2][emoji2][emoji2]
Ndio naanza kuona round figure.
Asante mkuu hatakama hujatoa details sana.
Wakijibu wengine mwisho wa siku nitazitaftia hata wastani.
JF raha sana jamani.
Sasa mkuu tutasikia hivi mpaka lini?
Si anayefahamu atudokeze japo kwa ufupi?
Tunayasikia mengi, sasa kuliko tuisgie kuimba mambo yakuambiwa tena unakuta anayeniambia naye kasikia tu.
Leo nahoji anayefahamu aseme, hata kwa direct message nashangaa mnatoa ushauri nasaha tu.
Kama unafaham...
Kinachoonekana hapa kuna wengine hatufaham ila kunyamaza inakua tatizo.
Kama mtu anafaham na nimehitaji kutumiwa direct message au private message, tena sema kiasi kadirishi.
Shida ipo wapi hapo?
Asiye na njaa hahitaji chakula.
Wewe uliye na ufaham na kwa uwezo wa akili yako, ukiona mtu anapotoka ni wajib wako kumuelimisha kwa lile jema unalodhania ama kulifaham.
Sio sawa kushawishi wengine kuacha kutoa elimu.
Usiwe hasi wala chanya pekeyake.
Jifunze kutazama mambo kwaundani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.