Nina dish la futi 6 napata vizuri eatv,itv,na capital.Lakini ni muda Tbc1 na startv sipati kabisa.Je naomba kujua kuna mabadiliko ya frequency naomba mnijulishe.
Nina dishi la 6ft napata chaneli za bongo.Nataka kuweka lnb ya ku nipate za south africa na nollywood.Naomba kujua nitaiweka wapi na nahitajika ninunue vifaa gani.Kama kuna picha tafadhali naomba nione vipi lnb ya ku inakaa.
Nina dishi la 6ft napata chaneli za bongo.Nataka kuweka lnb ya ku nipate za south africa na nollywood.Naomba kujua nitaiweka wapi na nahitajika ninunue vifaa gani.Kama kuna picha tafadhali naomba nione vipi lnb ya ku inakaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.