Search results

  1. C

    nafasi za kazi katika haya magazeti vipi?

    kuna nafasi za kazi zinatangazwa kwenye magazeti ya michezo na udaku kama risasi, mwanasport, dimba na mengineyo. qualifications zao zinakuwa form 4, 6 na vyuo. vipi zinamaslahi au zimekaaje? mwenye kulijua hili naomba taarifa.
Back
Top Bottom