Really nakemea toka rohoni. Japo kwa Tanzania ya leo hatakiwi. Ukiwa against ufisadi basi ujue wewe hata kaa upande daraja, cheo wakipenda hata mshahara na wasingizia masa Epicor mara mfumo. Mungu atusaidie hii nchi upepo huu upite vinginevyo vizazi vijavyo watachinjana kama Somalia na other like.
Da nimekumbuka mbali sana ndugu yangu. Mungu ametunusuru. Basi tulio hai na tutende mema kwa jamii inayotuzunguka. Tusiwe part of ufisadi. Binafsi bado nina mawasiliano na herieth,grace tendega, monika, vangamela et el
kimeniuma sana aisee. Kulizagaa habari kile kipindi cha kampeni(2005) cha baba yake kuwa aliahidi kuwa kinyume na baba yake vinginevyo amwahidi sehemu ya urais wake otherwise ataweka kila kitu hadharani alivyomfanyia mama yake. Labda ndo sababu hata akifanya cha ajabu baba yake anamwangalia tu...
Nilijua tu kuwa iko siku litatokea hili. Mimi ni mwalimu wa Elimu maalumu(ya wanafunzi wenye mahitaji maalum) kuna kanuni inasema hivi "chukua lililozuri/jema toka kwa mwanafunzi wako ili umwendeleze/kuchochea kipaji alichonacho. Pia ni rahisi hata kumrekebisha kasoro zilizopo.
Hakuna hiyo kitu ndugu yangu. Vitabu vimeletwa wilayani ndo vinasambazwa mashuleni. Vitabu vyenyewe ni vya publishers tofauti tofauti. Kuna oxford, macmillan, sijui twiga nk. Hivyo issue ya kutumia kitabu kimoja nchi nzima tusahau.
Ha ha ha ha eti mtumishi mwaminifu. Umenifanya nicheke maana nilikuwa nimekasirika siku nzima baada ya kukuta vitabu vilivyogawiwa shuleni kwetu vya chenji ya Radder ni vituko tu. Naamini hali ya elimu itaendelea kuwa mbaya sana pamoja Brain Receive Nothing yao.(Big result now)
Profesor nimekuelewa yawapasa watu wasome hoja zako kwa kutulia. Pia hongera kwa uvumilivu na kupungua hoja za waliojinyume nawe. Shida ni kwa watu tuna hasira sana na serkali ina unyanyasaji sana siku hizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.