When the political power paralizes the bureaucrats decide for themselves.Hiki ndio chanz cha kutoweka kwa maadili ya watumishi serikalini,kwasababu mkuu wa kaya ni mchafu hivyo basi amepoteza uhalali wa kukemea watendaji wake.Nafikiri haya ni baadhi ya yalioachwa na kamati ya Mwakyembe.Kitakacho...
Hao jamaa wanajuana,waswahili wanasema 'nioneshe rafiki yako ntakwambia wewe ni nani'.Lakini sisi tunaombea wagombane ili tufahamu mengi yaliyojificha nadhani hii ndiyo hoja ya msingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.