Huu ni upuuzi uliopitiliza lakini ni mawazo yako sio mawazo ya watu milioni 6 na ushee wanaokiunga mkono chama hicho.Ni wishful thinking kudhani kwamba ndoto ya utopia ya kuigeuza jamii ya watanzania kuwa homogeneous mono thinkers itafanikiwa.Pole sana.
Kuna madhara zaidi ya kuuwa watu wasio na hatia kwa kulinda maslahi binafsi ya wateule wachache?!Wewe na huyo mweka bandiko hamwakilishi maoni "wananchi" hivyo confine maelezo yako kwenye upeo wako wa kufikiri na kwa mtizamo wako peke yako.
Its a mater of context.Hitler was an elected leader.....and so was Mussolini between 1922 to 1925 before he dropped all pretense of Democratic process and established a legal fascist dictatorship.So truth is elected leaders can and do become "National disasters" especially if the people do not...
Barbarosa Kila contention ina premise yake.Nia ya mwandishi haikuwa kutengeneza mizania ya mifumo ya "checks and balances" ndani ya vyama vya siasa vilivyopo Tanzania!Naimani kuwa lengo lake lilikuwa kuaininsha athari za udhaifu huu alioubaini ndani ya chama tawala na jinsi ambavyo udhaifu huu...
CHADEMA na vyama vingine vya upinzani mkuu havina dola!Kwa maana ya kwamba havina serikali na haviongozi serikali iliyopo madarakani hivyo basi udhaifu au kutokuwepo kwa checks and balances ndani ya vyama hivyo haviadhiri moja kwa moja utendaji wa serikali kama mwandishi anavyoelezea.CCM ni...
Hogshit!
Hii ni propaganda hatari kabisa kwenye mjadala serious. Kila mtu anajua jinsi mazingira ya kufanya kazi yalivyo yq hivyo kwa madaktaki,jumlisha kutokuwepo kwa vitendea kazi vya msingi kabisa,milundikano ya wagonjwa na uhaba wa madawa...achilia mbali mishahara namarupurupu duni.
Kama ni...
Wadau kwa siku mbili mfululizo najaribu kupata shule walizopangiwa wanafunzi wa darasa la saba mwaka huu (2016) bila mafanikio.Je kuna mtu anaweza kunijuza wapi naweza kuyapata?au akaniwekea link ya website yenye nayo.Nimejaribu websites za necta na moe bila mafanikio na website zingine ukifungu...
Wadau,
Nina tafuta watu wa ku administer questionnaire katika wilaya za Mkuranga na Bagamoyo kazi ambayo inatarajiwa kuchukua siku 5 - 7
Sifa:
Ninahitaji watu ambao ni:
1.Wanafunzi wa vyuo ambao wako likizo
2.Wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu (Shahada/Diploma) ambao hawana ajira kwa sasa...
I'm looking for a 1 bedroom furnished house/studio/apartment for short term (1 month) rental in Dar es salaam for immediate occupancy.My budget is Tshs 500,000/= per month
Please inbox me if you have one or have information about one.
Asanteni wadau.
Nasikia hasira kila ninapomsikiliza huyu jamaa kwa jinsi anavyofikiri kwa makalio....Inatia hasira kweli anapofanya propaganda za kitoto kiasi hiki mbele ya umma wa watanzania wenye dhiki za kila aina....Nachelea kumtukana kwa kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.