Taarifa za uhakika kuwa Mkurugenzi mkuu wa bodi ya bahati nasibu ya taifa bwana Abas tarimba amepigwa chini tangu wiki iliyopita na nafasi yake anakaimu mtu mwingine
Ha ha ha nyie hamfui dafu kwangu, nlipata kitoto kidogo kama cha 17yrs hivi kikali balaa nikakitia mara moja bila ndomu asubuhi ananipigia simu ana mimba na hataki kutolea sehemu yoyote zaidi ya aghakhan na ni sh. 1m tena kwa kompyuta
Mbona mgumu kuelewa? Nimesema dhamana ninayo bank wamekagua na wamesema wanaweza nipa hadi mil 200 sasa ninachofanya sasahivi ni kufanya upembuzi yakinifu ni biashara ipi naweza kufanya ili niweze rudisha mkopo ambayo nikiandika proposal itawleweka
Uingizwaji wa wanafunzi wasio na sifa kusoma, katika hili chuo hiki kimekuwa kikichukua wanafunzi wasio na sifa za kujiunga kimasomo totauti na taratibu za wizara, kwa mfano wanafunzi wanaoingia kusoma certificate wengine hata elimu ya secondary hawajasoma
Diploma ndio balaa kuna ambao...
Tunaomfhmu jonasi nkya tunawashangaa, jonas ni lecture mzumbe university pia ni mwanasheria wa kujitegemea kisiasa ni mjumbe wa nec na kibiashara ni mfanyabiashara mkubwa wa magari wa muda mrefu hapa morogoro, hayo masuala ya utapeli ni upinzani wa kumchafulia jina kibiashara kwakuwa hapa...
Tunaomfhmu jonasi nkya tunawashangaa, jonas ni lecture mzumbe university pia ni mwanasheria wa kujitegemea kisiasa ni mjumbe wa nec na kibiashara ni mfanyabiashara mkubwa wa magari wa muda mrefu hapa morogoro, hayo masuala ya utapeli ni upinzani wa kumchafulia jina kibiashara kwakuwa hapa...
Sio kweli tunaomfahamu jonas nkya sio dalali na wala sio tapeli ni mwalimu ktk chuo kikuu mzumbe na ni wakili waekujitegemea pia ni mfanyabiashara wa magari muda mjini morogoro
Kumekuwa na tabia ya Askari wa trafic kutumia kutokufahamu sheria mpya za baadhi ya barabara maeneo ya Posta kama mtaji wao wa kujipatia fedha, sasahivi lipo kundi la maaskari wa kawaida 3 na trafic 1 pale Ocean road hospital wanakusanya fedha kama nchi imeuzwa.
Ninazo video za matukio hayo.
Jamani haya maneno tunayoyatoa humu hayawezi kuwa ya great thinkers hata kidogo tunaudharilisha huu mtandao hatuna tofauti na walevi wa gongo. Ni ushauri tu.
Mtoa mada wewe kwa upembuzi tu huna hata hiyo certificate umeyajuaje haya kama si unafiki?
Eti tangu lini ikahitajika transcript ya form 4 ikoje hiyo na kwa ajili ya nini labda ukitaka kujiunga na sungusungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.