Twaweza East Africa today announced the appointment of Aidan Eyakuze as its new Executive Director. Eyakuze, who was selected after an extensive international search, will take up his new post on 1 March, 2015. He will replace Twawezas founder and current head, Rakesh Rajani.
Educated as an...
Njalu silanga anampango wa kugombea Ubunge kumtoa mzee cheyo anatembezi pesa chafu kama nini za kaka zake ....they wont quite CCM for their saggas ...wanajua wakitoka tu CCM same like Biashara zao zote kwishnia jamaa wanapesa halafu std seven wengine hata hawajasoma/wala nini wamuulize Cheyo...
Hawa jama wa SBT ninamiaka karibu 2 nafanya nao kazi mimi huwa nawapa credit kubwa kwasababu wanajua biashara wanaku upadte kila hatua pia hata kama huna haja na gari watakukumbusha tu so wako serious na kazi sio tatizo letu huwa tuanjaribishiwa kufanya biashara kama wewe hapo sasa hivi...
Wafanyakazi wote wa Tigo watoleawa nje baada yakuoneka lile jengo ni hatari naliko karibu kuanguka wakati wowote ule asee Maengineers vodafast watatumaliza
Chama ndiyo Cheney mamlaka wenzetu ikibainika unahujumu chama unanyongwa North Korea ,hapa kwetu watu wanabembelezwa name kutunzwa hatuwezi kwenda mahali zitto must go do you hear me CHADEMA?
Hutu manyerere namshangaa yupo start anabwabwaya sana eti anatoa ushauri was hire kuna wakati ukikosa hoja unaanza kijitetea ehw Mimi natoa. Ushauri was bure wapi na wap
Ameonekana kuwakilisha kundi la watu ambao wamekuwa wakijaribu kutengeneza mazingira ya ufanano na kujenga hoja kwamba...
Hutu manyerere namshangaa yupo start anabwabwaya sana eti anatoa ushauri was hire kuna wakati ukikosa hoja unaanza kijitetea ehw Mimi natoa. Ushauri was bure wapi na wapi
Ndugu huyu amejenga hoja zake kadha wa kadha katika andiko lake alilolipatia jina la Waraka wangu kwa viongozi...
Akichangia hotuba ya wizara hiyo, Mbowe alisema majangili wamekuja na mbinu hiyo mpya kwa lengo la kukwepa kunaswa na vyombo vya dola.
Alisema hivi sasa meno hayo hayasafirishwi kwa meli kama zamani na badala yake kuna viwanda nchini ambavyo huyasaga meno hayo na kisha kusafirishwa kama unga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.