Ni kweli mfumo uliopo haukidhi matakwa ya kidemokrasia ya sas lakini kwa kuwa ndiyo utaratibu uliopo ni lazima utumike na kueshimia hadi hapo utakapobadilishwa, hivyo basi kafulila yupo kitanzini ameshanyooshwa hata TLS akina mpangala wakienda mahakamni, mwisho wa siku sheria ndiyo itakuwa...
Watanzania mnashangza sana, mnashindwa kuelewa kuwa posho za wabunge zimeongezeka kutokana na ukweli kuwa wao walikuwa wakilipwa kiasi kidogo sana ikilinganishwa na watumishi wengine wa serikali kuu kama vile makatibu wakuu wa wizara, wakurugenzi wa mashirika ya umma, halmashauri mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.