My sister, some of them it's like they come from the same womb, try a different approach if that does not work my darling that now will be serious, you will either need help or just walk away before things get worse in the house. That is how they start by ignoring you, not replying if you ask a...
Ila pia tuangalie pande zote, ni kweli kuna wadada wako hivyo lakini sio % hiyo anayosema Rasjah.
Rasjah kumbuka kuna midume mingine nayo hufanyiwa kila kitu an wadada/gf zao and they contribute nothing! Je kwa perspective zako hao (vidume) nao ni % ngapi?
Jamani RealMan natumaini sijakosea leo ni aniversari yako.
Hongera sana kama nimepatia!
Tujuze siku ya leo iko vipi kwako na kwa mupenzi wako, siku ya leo umesherekea vipi?
Kwa nini wanaume wanakuwa wakali wife/girl friend/lover wanapo pewa vitu na watu wengine? Na kwanini kitucha kwanza wanafikiri ni kuwa wamepewa na wanaume?
Is it because they do the same to other ladies instead of doing it to you?
Au pia utakuta kama ni girl friend/lover they (the man) comes...
All I can say nikwamba Mwalimu Nyerere knew better aliposema kuwa JK bado, he was telling us in a diplomatic way that he is not strong for the presidents seat!
Ameedit baada ya kuona anashambuliwa kwa kuweka hadharani furaha aliyonayo kwa kuona rafiki yake anapoteza ajira
Basi huyu ndugu hafai hata kidogo and I pray rafiki yake analigundua hilo mapema ili avunje huo urafiki wa mashaka!
I believe AshaDii uko sawa ni nzuri kufahamu past ya mtu. It makes it easy to understand tabia ya yule mtu hviyo kuweza kuishi nae, lakini pia pamoja na hiyo past yake yet we as human beings we tend to change with circumstances
Kama wapenzi wangekuwa wanaoyeshana CV kabla ya kuona ingekuwaje?
1. Je wangefoji CV?
2. Je wangefoji uhalisia wa maisha yao?
3. Je ndoa zingekuwa zinadumu au zungekuwa zinavunjika kwa kasi zaidi ya sasa?
naomba maoni yenu tafadhali
lakini mbona hii thread does not make sense? inabidi tupate source ya haya maneno inawezeka ikawa ni porojo tu.
Tukumbuke mahala popote panapotokea changes kuna wale wanaochukulia postively na wale wa negative. Postive minded they know what they are doing na wale wa negative minded lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.