Tanzania govt takes away rights to file cases against it at African Court
Sasa rasmi mtanzania marufuku kutafuta Haki kisheria. Labda ukatafute Msituni. Wameanza kuitafuta haki yao Mtwara wameingia Lindi. DSM sio mbali. Kabudi na Jiwe lake waendelee kuziba watu vinywa vyao kibabe.
Sikusema Lisu ni mteule, lakini sikatai Kuwa anaweza Kuwa mteule. Harald wewe unaweza Kuwa mteule. Ni Siri kubwa aijuaye ni Mungu tu. Usitumie nguvu Sana kumzimisha mtu, usijejikuta unapambana na Mungu. Achilia mambo yaende kiasili na sanasana omba Mungu wako audhihirishe ukweli. Usijisumbue...
Wanaboa kwa kweli. Wanajua magonjwa yanayowaandama wastaafu wengi, wamezuia fawa muhimu nyingi. Mfano dawa Za kisukari nyingi, Za hypertensjon nk unaenda dukani wanakwambia dose ya mwezi ni 170,000na hiyo ni moja. Daktari anasema wafanyakazi wadi TRA. Benki wanaruhisiwa bilar shida. Ubaguzi gani...
Nilikuwa mfuasi nkubwa Sana wa Pasukali enzi zake za ubora wa mawazo yake. Tangu alipoambiwa na tafsiri ta mayala kisukuma Kuwa ni njaa, basi nayo nguvu ya kufikiri imrgeukia njaa. Hana mvuto tena namnet mabandiko yake. Nayaruka kula nionapo maana kuyasoma kunaniharibia siku.
Sent using...
Unakosea kuamini kuwa vifo vinavyotangazwa na serikali 10 tu ndio Corona. Labda useme umejitoa akili. Si kweli japo unayo haki kuamini utakavyo. Au unangojea familia yako iguswe ndio somo likuingie?
Harald Uingereza na China kwenyewe wamesema wanachotangaza Kina mushkeli. Wanahesabu waliofia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.