Huo ndio mwisho wa kufikiri kwake bwana castro, anafikiri amani ni kama sukari, unaenda kuipata tu dukani, ngoja tuone namna atakavyojaribu kuivunja kama hakujikuta moi ward muhimbili na aone kama hao waliomtuma watakwenda hata kumtaka hali.
Kuna mtawala mmoja wa south Africa aliwahi kusema kuwa waafrika na waarab ni human like species yaan sio full human kind, atazidisha kwa kusema ukitaka kujua hawa watu sio rational humans wape vitu vifuatavyo 1. Uongozi 2. Silaha... So huyo dogo makonde sijui masumbwi ni sawa na mjusi kwenye...
Tatizo maelezo yako hayako straight forward, tangu lini cheti kikawa na tarehe ya kuzaliwa? Nna wasi wasi hivyo vyeti sio vyako unataka kuleta kanjanja... Utafungwa, rudi shule utapata haki yako, quid pro quo
Ila kwa mfanyakaz ambaye ni mwanachama wa chama cha wafanyakazi kimbilio lake ni kwenye chama, huko atapata msaada wa uwakilishi mahakamani au cma, mf wa vyama vya wafanyakazi ni tuico, tughe, talgwu nk
Naungana na mtoa uzi, hizi ni fix tu, system yao ya uchezeshaji ni very technical so kwa kuwa ni computerised huwa wanaset who wins, utafiti wangu binafsi nimegundua namba zote zinazoshinda huwa special au standard numbers in most cases... Jamaa mmoja kitaa akanidokeza eti huwa wanaset mtu...
Man Gwaggy nae woga, sa hapo ndo mjue usanii wa most of our pastors na Bishops, sa check hao ni police tu kazima je angekua Devil mwenyew si angetuacha kondoo wa Bwana huyu msanii
Teh,jamani eeh,kila binadamu ni komandoo kiasili,hii ni kwa misingi ya uvumilivu,ujasiri,nguvu na utumizi wa akili kulingana na mazingira na uhitaji...nani anabisha? Chunguza maisha yako utagundua kama wewe ni komando au sungusungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.