si matahira tu wamechanganyikiwa tuwapelekeni mirembe kwani ni karibu na huko maisha wanapoona maisha yamepanda:A S 465::juggle::A S embarassed::tongue::A S 465:
Hivi ni lini watavaa uzalendo na kuacha ugonjwa wao wa mwenye nacho huongezewa na ufisadi au mpaka tuwachape kama wa nchi x alivyowalipulia bomu la machozi wezake???
mchakoto wa katiba mpya kwa upande wangu inatisha kwa kuona viongozi wetu wenye zamana wakirumbana na kukutana vikundi kwa vikundi na raisi kwann wasikutane wote kwa pamoja na la zaidi rais anapendekeza uchaguzi ujao katiba mpya iwe tayari hivi ni rahisi kiasi hicho miaka 2 kwa upande wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.