Ndiyo tuseme hao wachaga wanadhamini mikutano ya Chadema tu? Ukabila si mzuri kwa Nchi inayokua kama Tanzania, mwingine akisoma hii thread yako, tayari kashajua wewe uko upande gani...
Nilikuwa nasoma hii makala kama ushairi wenye vina vya kati na mwisho.Mlianza vizuri, mlikuwa mnapiga mbio vizuri nani amewaroga? Nani kawadanganya kuwa hoja zenu nzuri ambazo mlizipeleka ikulu pasi kupata baraka za wanachama wenu..zilibarikiwa? mkafika, mkakaa kwenye makochi na kunywa gahawa na...
Nilikuwa nasoma hii makala kama ushairi wenye vina vya kati na mwisho.Mlianza vizuri, mlikuwa mnapiga mbio vizuri nani amewaroga? Nani kawadanganya kuwa hoja zenu nzuri ambazo mlizipeleka ikulu pasi kupata baraka za wanachama wenu..zilibarikiwa? mkafika, mkakaa kwenye makochi na kunywa gahawa na...
Mimi niko kimya tu, mkilianzisha nasaport 100% kuanzia iissue ya richmond,Kiwira, mafuta kukosekana, posho za wabunge, migomo ya waalimu, madaktari bado askari, wanajeshi na magereza. Mi niko tu nasikilizia, hii ya ridhiwani ikikamilika tu, msishangae nikawa wa kwanza kupigwa risasi kwa ajili ya...
Kwa maumbile, sio siri nina makalio makubwa sana kiasi kwamba kila nikipita sehemu watu wote wanawake kwa wanaume hawaachi kunitazama..... umejuaje wanakutazma wewe kama si kujishtukia? Achanana na tabia ya kugeukageuka nyuma, utaishi kwa amani. Inaonekana kuna kitu ulifanya then unattaka kupata...
Nimefuatilia sana hizo wizara zilizotajwa kuwa zinaoongoza kwa ukabila, lakni sijaona Wizara ya mali asili, na utalii hususan TANAPA
Sijaona NSSF ikitajwa na BOT. Huko nako wamejaa wahaya, wachaga na wanyakusa?
Nawasilisha.
Before you judge others, start with yourself
Mtoto wa kuli, anataka kumficha nani huyu vuvuzela. Amekosa cha kuropoka anaanza kujisemea mwenyewe. Tumwache tu hadi 2013 atataja majina yake yote na ya baba yake mzazi.
Mi naona kama analipa fadhila.... japo zaweza kuwa ni kwa faida binafsi, nchi au wananchi. Tusubiri tuwaone..
You can't make an omelet without breaking Eggs
Una haki ya kuuliza na kulalamika mwana JF mwenzangu. Tunavyoijua UDSM, mimi nimekaa hall one pale, floor ya tatu, sitaki nizungumzie vyoo wakati maji hamna. Ila cha msingi hapa mi naona kuna bifu zito kati yenu na utawala wa chuo, pia na utawala wa serikali iliyoko madarakani. Ndiyo tulizomea...
Dah inakuwa ngumu kwani hata mimi ni 3rd part, sijui huyu jamaa au huyo msichana kwa undani kama wanavyojuana wenyewe.
May I please reserve my comments for now!!
Ukizama ujue kuogelea!!!!
Napenda kuwasalimu katika yeye anitiae nguvu.....
Tutakuwa pamoja katika kutoa maoni, burudani na ushauri kwa hii jamii blog,
tuache ubinafsi lete hoja na maoni humu tuzungumze...
asanteni kwa ukaribisho mzuri
Mkuu, lakini walimu wamekuwa wananyanyasika sana kila kukicha, hebu fikiria kila siku wanalia njaa, hata zile biashara za maandazi, ubuyu, ice cream mashuleni ambapo walikuwa wanajipatia angalau nauli, Serikali imezipiga stop. Je ni waalimu hawa hawa wakitishia kugoma wanadanganywa kama watoto...
Wana JF, inafika wakati tuwe na utaratibu wa kuelimishana na kueleweshana mambo mbalimbali, hii ni forum ya jamii ambayo inaruhusu kila member wake aweke maoni, mapendekezo na ushauri wake humu. Mimi mwenyewe naipenda sana hii blog kwani siku haipiti bila kupitipitia humu angalau kujua ni kitu...
Ni vizuri kila mtu akajua kwamba, kuwa mwanachama wa chama fulani kunategemeana na yale ambayo anapenda kuyaona katika chama A lakini kwa bahati mbaya au kwa makusudi basi chama hakuna. hapo ndipo mtu kwa hiari yake, nafsi na kwa kuthamini anachokiamini ndipo huamua kujiunga na chama B. Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.