Hakuna mtu anaweza kufa bila kupata cardiac arrest. Cardiac arrest maana yake ni moyo kusimama (yaani kifo), kwa hiyo kifo hakiwezi kuwa sababu ya kifo.
Maneno au report kama hizi zinasababisha wenzetu nje ya nchi wakisikia waone Tanzania hakuna watu wanaojitambua.
Nafikiri familia ilimaanisha...
Mkuu mimi nipo UN kama international personnel, kwa ufupi kimsingi hakuna shirika lolote la UN linalotajiri mtu mara ya kwanza katika mazingira ya kawaida kwa mtu kutuma CV kwa email. Wengi wanatumia form inaitwa P11 ambayo utaikuta online tayari kwa hiyo utakuwa unajaza kila step, mwisho wa...
Unhitaji kuonwa na daktari wa magonjwa ya kinamama kwa uchunguzi zaidi.
Sababu zipo nyingi, kutokana na maelezo uliyotoa ingawa bado kuna vitu sivijui kuhusiana na wewe, kuna uwezekano kiwango kikubwa kuwa ni Cervical incomptence.
Tiba yake ni wakati wa uja uzito kuna dawa unaweza pewa na...
Kutokana na hiyo taarifa, account yangu ya CRDB sitaitumia tena kwa alili ya biashara zangu. Hii tabia ya kutoka siri za wateja, inaonekana wanayo siku nyingi.
Account yangu naenda kuifunga.
Ni Kweli alivyomweleza mwanasheria.
Afadhali amechukua hiyo hela faster. Andeenda mahakamani angelipwa hela isiyozidi laki na ishirini.
Cha kumsaidia aongee na hao Wachina vizuri, aendelee kuajiriwa na hao wachina katika section ambayo ataimudu na ulemavu wake.
The Democratic Republic of Congo has confirmed that an outbreak of haemorrhagic fever in the north of the country has been identified as Ebola.
Health Minister Felix Numbi told the BBC that tests on two people had confirmed the disease in Equateur province, where 13 had already died.
But...
Hao ni wagonjwa wa kwanza wa Ebola kuripotiwa nje ya Afrika Magharibi tangu kuzuka kwa ugonjwa huo huko, ingawaje haijaeleweka wazi kama vifo vya watu hao vinahusiana na mlipuko wa Ebola katika nchi za Afrika Magharibi.
Mpaka sasa watu 1,427 wamekufa kutokana na maambukizo ya virusi vya Ebola...
sawa mkuu, nikipata muda nitaweka kwa Kiswahili pia, ila natamani kila mwana JF angeisoma hii article akaielewa, hasa wale wanaopenda kutoka outing ambazo ambazo wao wenyewe au rafiki zao wanapenda kuogelea!
With the recent story about kids who were drowning in Land mark swimming pool, I thought it is good
idea to share knowledge about drowning;
The Instinctive Drowning Responseso named by Francesco A. Pia, Ph.D., is what people do to avoid actual or perceived suffocation in the water. And it...
Nianze kwa kusema kila taaaluma ina umuhimu wa kipekee katika jamii.
Katika sekta ya afya katika hali ya kushangaza Rais aliyatupilia mbali majina ya drs waliopendekezwa na MAT na badala yake akaona fani ya afya iwakilishwe na maoni kutoka chama cha waganga wa jadi.
Aidha serikali...
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA
KANDA YA KASKAZINI
(Tanga, Kilimanjaro, Arusha & Manyara)
TAARIFA KWA UMMA
WAGOMBEA WA UDIWANI - KANDA YA KASKAZINI
Tarehe 15 Januari 2014, wagombea wafuatao wa CHADEMA walipitishwa na TUME YA UCHAGUZI kuwania nafasi za uwakilishi...
Kuhusu mali zilizoibiwa pesa taslim T.sh 3,900,000/= zimepatikana na kwamba mtuhumiwa wa pili ndiye aliyekamatwa nazo pamoja na simu ya mlalamikaji, kadi ya Benki na leseni ya udereva. Katika sakata la ukamataji Mtuhumiwa huyu aliutupa ule mfuko wa pesa na mtoto mmoja aliuchukua na kukimbia nao...
"Habari za mchana ndugu wanahabari, tumewaita ili kutoa taarifa kwa wananchi juu ya tukio ambalo limetokea ndani ya Mkoa wetu ambalo kwa kiasi kikubwa linataka ufafanuzi kutokana na jinsi linavyozungumzwa huko nje.
Siku ya tarehe 13/01/2014 majira saa 9:55 jioni hapo Rahaleo kwa Mchina Tambi...
hiyo inaitwa anencephaly. Inatokana na mtoto kuzaliwa bila kuwa na sehemu kubwa ya ubongo. Anayependa aende google images atafute anencephaly ataona picha kama hizo nyingi. Halina uhusiano wowote na mayai ya chura. Thanx.
Hii habari ni ya ukweli!
Hawa jamaa walikuwa wamepanga kuteka gari la mzungu mmoja ambaye alikuwa anaenda mkoani kutokea Dar akiwa na hela za kigeni zenye thamani ya Tsh milioni 700.
Hawa majambazi kuna mtu aliwachomea kwa police wakiwa maeneo ya kiluvya na Gari mbili wakiwa wanasubiri kupigiwa...
Hii habari ni ya ukweli!
Hawa jamaa walikuwa wamepanga kuteka gari la mzungu mmoja ambaye alikuwa anaenda mkoani kutokea Dar akiwa na hela za kigeni zenye thamani ya Tsh milioni 700.
Hawa majambazi kuna mtu aliwachomea kwa police wakiwa maeneo ya kiluvya na Gari mbili wakiwa wanasubiri kupigiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.