Hakuna nchi imewahi kusonga mbele bila mzungu
Soma Vitabu Uelimike. Soma Historia ya Enzi na Enzi Kuhusu Mtu Mweusi Alivyofanya Kazi Kubwa Katika Maendeleo ya Hii Marekani na Uingereza ya Leo Ambayo Kwako Unawaona Kama Miungu Watu
Kwa Mujibu wa Sheria, Polisi ni chombo huru cha dola ambacho kazi yangu ni kuhakikisha Usalama wa Raia na Mali Zake. Je, Unaweza Kutufafanulia Kauli yako, ni kwa vipi polisi ni tawi na ccm?
Mimi ni Mtanzania ila pengine wewe ni mtanzania BORA ZAIDI maana badala ya kujibu swali unauliza uraia. Kwa Mara Nyingine, Tunaomba Ufafanue Kauli yako. Ni kwa vipi polisi wanatumika? wanatumika katika mambo/masuala gani na wanatumiwa na nani na kwa faida ya nani? Nomba ufafanue ili nikuelewe...
Tunaomba Ufafanue Kauli yako. Ni kwa vipi polisi wanatumika? wanatumika katika mambo/masuala gani na wanatumiwa na nani na kwa faida ya nani? Nomba ufafanue ili nikuelewe maana umesema "polisi wanatumika"..
So kwa kuwa hajasema unachopenda kusikia ndio maana unamuona msomi uchwara? so angetoa comments mfano za kumpamba lisu au ukawa pia ungembeza? Nadhani hata wewe una tatizo kubwa la uelewa.
Kwa hiyo unadharau na kudhihaki kauli mbiu ya Mheshimiwa Rais JPM ya "Hapa Kazi Tu"?? Kauli Ambayo Inatuhamasisha Watanzania Popote Tulipo Kutimiza Majukumu Yetu Ipasavyo kwa ajili ya ujenzi wa Taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.