Search results

  1. mtanganyika tz

    Modem ya voda

    rahisi kusoma! inaeleweka! mpangilio bora! best post ive ever read!
  2. mtanganyika tz

    Lnk. Files! Zikizingua fanya hivi!!

    wakuu nadhani miongoni wetu wapo waliowahi kukutana na tatizo hili la lnk files! kuna mtu jana kaniletea laptop yake ambayo icons zoze kwenye desktop zinadeploy notepad! yan namaanisha ukifundua default program inayotumika ni notepad! lnk files ni kitugani? net wanasema ni file extension...
  3. mtanganyika tz

    Je umeichoka google tanzania?! Je, unataka google international?

    Je.umeichoka google Tanzania? Je, unataka google international? Ndugu mwanajamii, kama majibu ni ndiyo kwa hayo maswali hapo juu basi fuatana name katika hatua chache zifuatazo; Hatua 1: kuandaa search engine mpya Hapa unachotakiwa ni kusogeza cursor mpaka sehemu urls zinapokuwa displayed. Then...
  4. mtanganyika tz

    NASA Kepler Probe Finds Two Earth-Sized Planets Orbiting Star

    aisee nadhani miaka 50 ijaayo! kama mtu ukivuta jiko(ukioa) nadhani honeymoon mweziniiiiiiiiiiii! kitchen party jupiter na maisha mnaenda kuanzia juani1 teh-teh-teh!:lol:
  5. mtanganyika tz

    Msaada Wa Ku Install Silverlight

    mkuu inavyoonekana hiyo site haipigi kazi huku kwetu! nimejaribu kuicheki nikaambulia! Sorry, Netflix is not available in your country... yet
  6. mtanganyika tz

    Secret backdoor to many websites!! Browse bureeeeee!!

    mkuu hilo file la user agent nimeliacha kwenye desktop! nimefuata kama ulivyoelekeza! cha kushangaza bado imezingua! au nilitakiwa kumerge kwenye registry? niliamua kuacha coz ulisema niache popote pale!!
  7. mtanganyika tz

    Secret backdoor to many websites!! Browse bureeeeee!!

    mkuu una kibarua! nimejaribu kama mtaalam alivyoelekeza hapo juu! aisee nilipojaribu site flani yani jambo la kwanza kuambiwa ni register first ili u access! nimeshondwa kuelewa kama inaapply kwa browser zote au firefox peke yake! manake nimejaribu kwa google chrome bado ikazingua!!
  8. mtanganyika tz

    Secret backdoor to many websites!! Browse bureeeeee!!

    UKIELEWA HII KITU USISITE KUTUSAIDIA NA SISI!!! jamani wanajamii kuna post ambayo nadhani wote ambao bado hamjaisoma mtaipenda tatizo ni kwamba nimeshindwa kuielewa vizuri ndio maana nimeamua kuimwaga kwenye jukwaa hili la wataalamu ili nipate picha halisi ya jinsi ya kuzama kwenye site zilizo...
  9. mtanganyika tz

    Kwa wale wanaopenda software za bure wajipakulie hapa

    aisee! kwa wale choka mbaya leo ni sikukuu! mkuu nishapakua kama vitano hivi! yani leo mpaka hard disc ijae!
  10. mtanganyika tz

    Kwa wale wanaopenda software za bure wajipakulie hapa

    jamani msaada! nimedownload software moja ya hapo juu"mini tool pertition wizard" yani kila nikijaribu ku resize disc nakutana na hii note
  11. mtanganyika tz

    Kwa wale wanaopenda software za bure wajipakulie hapa

    mkuu watu niliwaambia unatisha wakabisha! wanakuonea wivu tu ndo maana wanakuponda! aisee nishaanza kupakua taratiiiibu! si unajua hali ya uchumi mzee! hapo ni thanx mwanzo mwisho!
  12. mtanganyika tz

    RAM na ROM ya ubongo wako ikoje- Jipime mwenyewe

    nimechemka balaa! memori ndo sina kabisa!
  13. mtanganyika tz

    Analojia na digitali

    hizo extra cost ndo tatizo! kwa jinsi navyojua, mpaka muda wa ukufika wa kuondoa analog bei za ving'amuz itakuwa ni juu kwa 2000%
  14. mtanganyika tz

    Tigo wizi mtu, mawasiliano hovyoo!

    mkuu inaonekana uko sayari nyingine kabisaaaaaaaaaaaa!!
  15. mtanganyika tz

    Msaada wa kufungua .rar file/folder kwenye Pc

    au zama hapaDownload WinRAR utapata for free bila kutoa hata jero na inapiga kazi full mwanzo mwisho!
  16. mtanganyika tz

    Msaada wa kufungua .rar file/folder kwenye Pc

    winrar Windows 7 - Free Download Windows 7 winrar - Windows 7 Download huna haja ya trial pata kitu cha uhakika hapo! kama una windows7
  17. mtanganyika tz

    Msaada wa kufungua .rar file/folder kwenye Pc

    kama una software za kutengenezea rar kama winrar kwenye pc yako fanya hivi! right click kwenye hilo file then choose option ya ku extract files! normally ukikubali hatua znazofata kwa ku click next file la software utakuta kwenye desktop!
  18. mtanganyika tz

    RAM na ROM ya ubongo wako ikoje- Jipime mwenyewe

    natumia silverlight latest version! adobe flash player 10 plug in! na 11 active x! au zimekorogana nini?
  19. mtanganyika tz

    inakera, inauzi, na inasikitisha ukiisoma hii.

    i agree 200%! inkera! imenikera weeeeeeeeeeeeee1 NAJUA HELA ZINAENDA WAPI! zinanenepesha matumbo ya wakubwa! aisee inaskitisha sikitisha mno! mungu ibariki tanganyika mungu ibariki afrika!
  20. mtanganyika tz

    A Virus Program to Block Websites

    mkuu mbona zipo nyingi! niliyonayo inaitwa "AXIALIS ICON WORKSHOP" ni bomba ile mbaya!
Back
Top Bottom