Kaka umeongea neno hii mijiongozi inajijali yenyewe,na kumsahau kijana aliye mtaan kwa kukosa ajila hvo kuishia kuwa mpiga nondo,inamsahau mama mjamzito anayejifungua katika mahospital yasiyo na hadhi,yanasahau walimu ambao wamewezesha yafike hapo,pia yanasahau yalikotoka,hii yawezekana ni laana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.