wala usipate taabu bure hebu nenda ktk website ya IFM.The Institute of Finance management :: Home harafu hapo fungua prospectus yao hapo IFM then nenda kwenye hiyo course ya IT nafikri hapo swali lako lote litajibiwa mkuu.
Aondoke haraka sisi sasa tunamtaka lowasa tu aje awe rais wetu jk amechemsha kwa kila kitu kwake ni kigumu ameshindwa urais jk apumzike kwao huko chalinze
Msitupotezee muda wetu bure kwa hii hoja.kwani hapo mbona jibu ni moja na liko wazi kabisa kuwa lowasa alikwsha jiuzulu siku nyingi tu uwaziri mkuu?ili kutonyesha njia na huyo boss wake jk ili naye ajiuzulu lakini cha kushangaza na ajabu ni kwamba hadi leo hii huyo boss wake yaani jk hataki na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.