kama watanzania tunabidi tujifunze kuhusu maandamano yaliyotokea duniani na yanayoendelea kutokea duniani, tunasema dunia hii ni ya utandawazi yaani kijiji kimoja so kinachofanyika nchi nyingine kinaweza kutokea hata tanzania, amani ni nini? amani ni kuanzia kwa mtu binafsi, kwenye taasisi hadi...
no changes without struggling, hivyo wanachofanya wanachuo ni sahihi katika kudai haki zao, maandamano si kuvunja sheria bali ni moja ya njia ya kudai haki. ni vyema utawala ukawapa nafasi wanachuo kuandamana ili ujumbe wao uwafikie wananchi wanaoitwa wakulima ( lakini sina uhakika kama ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.