1)Viongozi wanaoshindwa kutekeleza ahadi walizo zitoa wakati wa kampeni wahukumiwe kifungo kisizo pungua miaka 10
2)Ajira zisihusishe mambo ya uzoefu,kama ni lazima waajiriwa kuwa na uzoefu basi tuanzishe vyou vya uzoefu
3)Adhabu ya ufisadi iwekwe wazi n.k miaka 30 au 40
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.